Haji Manara anapaswa kumuachia Ally Kamwe kuwa msemaji mkuu wa Yanga sc, kwa maana wakati wake umeisha (umepita)

Mbona kazi ya Afisa habari na Msemaji ni tofauti kabisa.
Afisa habari haiishii kuisemea Clabu kwa mdomo tu.
Ni Bosi wa Habari zote za kwenye majarida na mitandaoni.
Msemaji ni muongeaji tu chini ya Afisa habari.
Tatizo ni kwamba wote wawili wanapenda waonekane hadharani. Ukijipa uboss ukawa ni msimamizi tu, ni camera chache tu zitakazokumulika na kukusambaza mitandaoni. Ni suala la maslahi binafsi tu hapo
 
Umeongezeka wa 4 mwenye akili kule utopoloni
 
Mbona kazi ya Afisa habari na Msemaji ni tofauti kabisa.
Afisa habari haiishii kuisemea Clabu kwa mdomo tu.
Ni Bosi wa Habari zote za kwenye majarida na mitandaoni.

Msemaji ni muongeaji tu chini ya Afisa habari.
Kumaanisha Kamwe ni Boss wa Manara. Kitu ambacho Manara anakipinga.
 
NAUNGA MKONO MKUU
 
UMEANZA VIZURI LAKINI UMEMALIZA VIBAYA 😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…