Haji Manara anapata wapi pesa za kuchezea?

Madawa ya kulevya.
 
Ukiwa huna pesa, ukiona mtu anatumia pesa zake unaona kama anachezea.
 
Majibu....

1. Mikataba mikubwa Minne aliyonayo na Makampuni na kuwa Chawa Gegedu ( Msifiaji Mkubwa ) wa Watu Matajiri Mitandaoni.

2. Uwingi wa Followers wake katika Mitandao yake Facebook na Instagram kuna Malipo fulani ya kutosha anatarajia

3. Urafiki wake mkubwa na Drug Barons ( Wafanyabishara wakubwa wa Dawa za Kulevya nchini ) nako Kunamnufaisha. Hapa sitaki Swali tafadhali.

4. Mafisadi wakubwa kutoka Serikalini kumtumia Yeye kama Maficho ya Fedha zao ili aonekane ni Tajiri, azidi kuwa Maarufu huku wakiwa na uhakika kuwa Fedha zao ziko Salama japo yeye hupewa Asante ya 15% ya Utunzaji wa hizo Fedha za Kifisadi.

5. Kukuwadia Viongozi ( Wanasiasa ) na Matajiri wakubwa nchini na nje ya nchi Wanawake Warembo kisha yeye kupata 20% Commission ( na tabia hii kuna Naibu Waziri wa Wizara moja yenye Umuhimu wa Kihisia kwa Watanzania nae alikuwa akiifanya sana tu kwa Awamu ya 2005-2015 ) hapa sitaki Swali tafadhali.

6. Kuwa na Ukaribu wa Kiutamaduni wa Watu wa Pemba, Mombasa, Lamu, Ugiriki, Italy na Uarabuni na Ndugu ( Kaka ) wa Tajiri Jengo refu Posta aishiye nchini Dubai ( UAE ) ambaye nae ni Tajiri mara Mbili ya huyu Mdogo wake wa Dar es Salaam Tanzania. Hapa sitaki Swali tafadhali.

7. Investments zake kadhaa katika Media, Fashion Designs na Automobiles.
 
Halafu nilimsikia Sheik akilaani hizo sherehe akisema ni haram

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…