dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
- Thread starter
- #161
Vibya Sana kila mwak tukiojapo Kila mtu aishi anavo weza lakin haji anazingua parefu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vibya Sana kila mwak tukiojapo Kila mtu aishi anavo weza lakin haji anazingua parefu
Unamana gani dadaDai ndo mbereko lake,
Wivu gani ujinga uleunamuonea wivu mwanaume mwenzio kulaa hela zakee...!!
[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23] Bora wee umekuwa directlyUtakatishaji wa fedha za madawa ya kulevya akijifanya ni fedha za michango ya harusi, kumbe ndio anaziingiza katika system ya fedha halali
Wewe tuko pamoja nashukuru kwa kunielewa ninacho lalamikia siyo pesa zake Ni ujinga wa party kila mwkaa na kutumia pesa ndefu kufanya mamb ya hovyoPamoja na watu kumshambulia mtoa mada dr namugari ila ana hoja kuna vitu vinafikisha na vinakuwa na idara ambayo haipo kwenye tamaduni zetu...
Kivipi?Kwenye hii Shughuri, Haji anaenda kuingiza Mkwanja Mrefu, kuliko pesa alotoa....!
Hebu ngoja nifuatilie dear, kama vipi weekend hii tuichachue kwa ubuyu.Ila Kwa kuangalia tu birthday ya Jana, tuliosoma Cuba tumeshaelewa Haji kapigwa Ile Dualis, maana bibie hakuwa na furaha hata robo kama kalazimishwa Nifah reporta tafadhali tulitee wambea wenzio report kamili kutoka katika chanzo Cha kuaminika
Hata wewe unanikera snaWe pesa zake znakuhusu nini
Pambana na we upate zako utumie kama unavyotaka
ukickia uchawi ndo huo unakerwa na mambo yacyokuhusu
Mjadala nishaufunga ila bado mnanijia just tu na kunitukanaWe pesa zake znakuhusu nini
Pambana na we upate zako utumie kama unavyotaka
ukickia uchawi ndo huo unakerwa na mambo yacyokuhusu
Kumbe na ww ni mjinga kama mimi😂Kila mwaka jamaa anafanya matukio ya ajabu ajabu kama siyo kuoa Ni birthday nw Kama siyo birty Basi nikuoa, leo January 18 Ni birthday yake wkt huo huo kutakuwa na tukio la engagement na bint tapeli wa kutoka Tanga muweza
Tukio pia litakuwa live mubashara DStv amelipia milion 50 tukio liruke live
Hoja
Hivi mwanaume mzima unafanya birthday Kila mwaka kwa kuteketeza mamilion ya shilingi for a single night ? Alfi baadae mwezi miwili unachwa na kuanza kulalaimikia wanawake
HV wazazi wake hawawezi kukaa nae chini wamueleze ukweli kuwa SASa mwanangu cheupe tumechoka na.ndoa zako za Kila mwaka Safari hi iwe ya mwisho
Huwenda manara Ana biashara yake nyuma inamuingizia pesa chafuu na Kisha kuzitumia kwenye mamb Kama haya
Kuna mijitu itanitukana kwamba nitafute pesa ,sawa pesa natafuta San ila siyo kutanya ujinga na matukio ya hovyo hovyo
View attachment 2875792
Sijatukana mtu mkuu , tunaheshimiana kwa maoniWe nawe pimbi tu. Kama huna hela kaa kimya acha kufuatilia maisha ya watu. Eti kwa nini anafanya birthday? We inakuhusu nini? Hii nchi ina watu wana mawazo ya kimaskini sana!
Siku hizi umekuwa na mada za wanawake wa kiswahili kuna nini tena? Unahangaika na mambo ambayo si ya msingi. Haupo busy namugari? Au unakaa sana na mademu wa uswazi? Sisi wanaume huwa hatupati muda wa kutafuta issues kama hizi na kupost. Huyo manyara ni mtu wako wa karibu sana? Muwe mnamalizana huko huko maana unamfanya kama wote tunamfahamu.Kila mwaka jamaa anafanya matukio ya ajabu ajabu kama siyo kuoa Ni birthday nw Kama siyo birty Basi nikuoa, leo January 18 Ni birthday yake wkt huo huo kutakuwa na tukio la engagement na bint tapeli wa kutoka Tanga muweza
Tukio pia litakuwa live mubashara DStv amelipia milion 50 tukio liruke live
Hoja
Hivi mwanaume mzima unafanya birthday Kila mwaka kwa kuteketeza mamilion ya shilingi for a single night ? Alfi baadae mwezi miwili unachwa na kuanza kulalaimikia wanawake
HV wazazi wake hawawezi kukaa nae chini wamueleze ukweli kuwa SASa mwanangu cheupe tumechoka na.ndoa zako za Kila mwaka Safari hi iwe ya mwisho
Huwenda manara Ana biashara yake nyuma inamuingizia pesa chafuu na Kisha kuzitumia kwenye mamb Kama haya
Kuna mijitu itanitukana kwamba nitafute pesa ,sawa pesa natafuta San ila siyo kutanya ujinga na matukio ya hovyo hovyo
View attachment 2875792
Ahhaahah kumbe alipewa kiwanjaMama yake kamkabidhi kiwanja Bunju kamwambia ajenge ,ina maanisha manara hana nyumba mpaka sasa.
ila unateseka ukiwa wapi?Siangaiki
Sasa mzee unaandika nn hap kwa herufi kubwa na bold juu nonsenseSIKU HIZI UMEKUWA NA MADA ZA WANAWAKE WA KISWAHILI KUNA NINI TENA? UNAHANGAIKA NA MAMBO AMBAYO SI YA MSINGI. Haupo busy namugari? au unakaa sana na mademu wa uswazi? SISI WANAUME HUWA HATUPATI MUDA WA KUTAFUTA ISSUES KAMA HIZI NA KUPOST. HUYO MANYARA NI MTU WAKO WA KARIBU SANA??????????????????? MUWE MNAMALIZANA HUKO HUKO MAANA UNAMFANYA KAMA WOTE TUNAMFAHAMU.
Yes mama yake kamkabidhi kiwanja na kamsisitiza ajenge ndivyo alivyomuhasa na pia "TEAM KARIAKOO" ikiongozwa na Muhidin Issa Michuzi wamemwambia akishajenga watampa mabati ya nyumba nzima.Ahhaahah kumbe alipewa kiwanja