Haji Manara anapata wapi pesa za kuchezea?

Utakatishaji wa fedha za madawa ya kulevya akijifanya ni fedha za michango ya harusi, kumbe ndio anaziingiza katika system ya fedha halali
[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23] Bora wee umekuwa directly
 
Pamoja na watu kumshambulia mtoa mada dr namugari ila ana hoja kuna vitu vinafikirisha na vinakuwa na idara ambayo haipo kwenye tamaduni zetu.

Mwanaume kusheherekea birthday na kuweka party kubwa ya kuunguza hela mamilioni , note: hatuumii kwa kuunguza hela hizo sio zetu ni zake ila utamaduni huu mnaona ni sawa? Matajiri wote na viongozi wa serikali wakifanya haya mnaona ni sawa?

Hili wanaweza kuwa wanaelewa zaidi watu walio na familia na wana majukumu ya kifamilia
 
Pamoja na watu kumshambulia mtoa mada dr namugari ila ana hoja kuna vitu vinafikisha na vinakuwa na idara ambayo haipo kwenye tamaduni zetu...
Wewe tuko pamoja nashukuru kwa kunielewa ninacho lalamikia siyo pesa zake Ni ujinga wa party kila mwkaa na kutumia pesa ndefu kufanya mamb ya hovyo
 
We pesa zake zinakuhusu nini

Pambana na we upate zako utumie kama unavyotaka

ukickia uchawi ndo huo unakerwa na mambo yacyokuhusu
 
Ila Kwa kuangalia tu birthday ya Jana, tuliosoma Cuba tumeshaelewa Haji kapigwa Ile Dualis, maana bibie hakuwa na furaha hata robo kama kalazimishwa Nifah reporta tafadhali tulitee wambea wenzio report kamili kutoka katika chanzo Cha kuaminika
Hebu ngoja nifuatilie dear, kama vipi weekend hii tuichachue kwa ubuyu.
Ukiona kimya ujue nimekosa uthibitisho.
 
Kumbe na ww ni mjinga kama mimi😂
 
We nawe pimbi tu. Kama huna hela kaa kimya acha kufuatilia maisha ya watu. Eti kwa nini anafanya birthday? We inakuhusu nini? Hii nchi ina watu wana mawazo ya kimaskini sana!
Sijatukana mtu mkuu , tunaheshimiana kwa maoni
 
Siku hizi umekuwa na mada za wanawake wa kiswahili kuna nini tena? Unahangaika na mambo ambayo si ya msingi. Haupo busy namugari? Au unakaa sana na mademu wa uswazi? Sisi wanaume huwa hatupati muda wa kutafuta issues kama hizi na kupost. Huyo manyara ni mtu wako wa karibu sana? Muwe mnamalizana huko huko maana unamfanya kama wote tunamfahamu.
 
Sasa mzee unaandika nn hap kwa herufi kubwa na bold juu nonsense

Wewe toa hoja tembeaa acha kuandika kwa heruf kubwa. Kingine Kama upendi hoja zangu mzee zijakulazimisha ukomenti wala kusoma ukiona nimeleta Jambo huku usiwe una Soma mkuu nenda kasome hoja unazo zipenda siyo lazm upendi Visa vyangu

Kila siku unalalamika as if nimekuita usome na kukoment
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…