Haji Manara anapata wapi pesa za kuchezea?

Haji Manara anapata wapi pesa za kuchezea?

Mkuu kama kwa Tanzania tu unaweza kutambulika na watu takribani million 20,

Huu ni mtaji mkubwa sana, tena ukiwa na umaarufu kama haji, mitandaoni kuna
Subscribers, followers n. k.

Kutengeneza milioni mia mbili kwa siku kadhaa tu ni ishu easy.

Halafu pia jamaa ni jitu linapenda kuhurumiwa sana kutokana na rangi yake, na kwa mantiki hii watu wanajikuta wamempa ubalozi na mishe kibao hapa town.
 
Mimi naona akiweza hata kila weekend awe anafanya japo event Moja inayohusisha matumizi ya pesa kuongeza mzunguko . Watu watapata uhakika wa kipato.
Kakasome Monetary Economy... Haitomsumbua ... Hata akisoma Environmental Economics and Natural resources (Kwa kipengele Cha urithi ) ... Hata nchi inarithisha vizazi Kwa vizazi maliasili na mazingira.... Machukizo ni kuuachwa bila urithi na unaona jirani anatoboa...niliumia sana .. ila Kwa Sasa vizazi vyangu viwili vitaishi sijui hao watawaachiaje vizazi vyao .... Amini nakwambia chuki kubwa ni UMASKINI WETU...TUNACHUKIA WALIOFANIKIWA BILA SABABU YEYOTE...
 
Kakasome Monetary Economy... Haitomsumbua ... Hata akisoma Environmental Economics and Natural resources (Kwa kipengele Cha urithi ) ... Hata nchi inarithisha vizazi Kwa vizazi maliasili na mazingira.... Machukizo ni kuuachwa bila urithi na unaona jirani anatoboa...niliumia sana .. ila Kwa Sasa vizazi vyangu viwili vitaishi sijui hao watawaachiaje vizazi vyao .... Amini nakwambia chuki kubwa ni UMASKINI WETU...TUNACHUKIA WALIOFANIKIWA BILA SABABU YEYOTE...
Sasa kafanikiwa nin yule boya na wee kuoa ao na kuacha ndio kafanikiwa

Kuomba michango kwa matajiti Kisha kuoa na kufanya birthday Kila mwaka ndoo maafnikio

Mtu kuwa mwzi na mkwepa kodi ndio kafanikiwa
 
Kila mwaka jamaa anafanya matukio ya ajabu ajabu kama siyo kuoa Ni birthday nw Kama siyo birty Basi nikuoa, leo January 18 Ni birthday yake wkt huo huo kutakuwa na tukio la engagement na bint tapeli wa kutoka Tanga muweza

Tukio pia litakuwa live mubashara DStv amelipia milion 50 tukio liruke live


Hoja
Hivi mwanaume mzima unafanya birthday Kila mwaka kwa kuteketeza mamilion ya shilingi for a single night ? Alfi baadae mwezi miwili unachwa na kuanza kulalaimikia wanawake

HV wazazi wake hawawezi kukaa nae chini wamueleze ukweli kuwa SASa mwanangu cheupe tumechoka na.ndoa zako za Kila mwaka Safari hi iwe ya mwisho

Huwenda manara Ana biashara yake nyuma inamuingizia pesa chafuu na Kisha kuzitumia kwenye mamb Kama haya

Kuna mijitu itanitukana kwamba nitafute pesa ,sawa pesa natafuta San ila siyo kutanya ujinga na matukio ya hovyo hovyo

View attachment 2875792
Tuliambiwa humu na mdau kwamba hayo mambo ya kuoa na kuacha kwa Manara ni sehemu ya Biashara zinazompatia pesa
 
Wee. Ni shoga siku zote unafahamika Hapa

Hunitishi

Kam udr wangu unakuuma kasomee na wee Kama una vigezo shenzi kbsa shogaa mkubwa
Shoga ni wewe unaechapiwa demu,wewe ni punguani na akili huna.

 
[emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23]
 
Back
Top Bottom