BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,591
- 8,826
Kamati ya Rufaa na Maadili ya Shirikisho la Soka nchini TFF chini ya Mwenyekiti wake Richard Mbaruku imempungizia adhabu Msemaji wa klabu ya Yanga, Haji Manara kutoka Tsh. Milioni 20 hadi Milioni 10.
Adhabu ya kifungo cha miaka miwili ya kutojihusisha na masuala ya Mpira ndani na nje ya nchi inaendelea.
Manara ameagizwa kulipa dola 4361.10 au Tsh. Milioni 10 ndani ya siku 30 kuanzia leo Septemba 14, 2022.
Adhabu ya kifungo cha miaka miwili ya kutojihusisha na masuala ya Mpira ndani na nje ya nchi inaendelea.
Manara ameagizwa kulipa dola 4361.10 au Tsh. Milioni 10 ndani ya siku 30 kuanzia leo Septemba 14, 2022.