Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
na je kama anataka aendelee na shughuli za soka?Ukweli ndio huo, TFF na kamati yake uwezo wa mamlaka yake umeishia hapo tu...
Hiyo pesa anaweza asilipe, na akaachana kabisa na ishu za soka...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
na je kama anataka aendelee na shughuli za soka?Ukweli ndio huo, TFF na kamati yake uwezo wa mamlaka yake umeishia hapo tu...
Hiyo pesa anaweza asilipe, na akaachana kabisa na ishu za soka...
Waziri wa Michezo akihamua kutoa misamaha anaweza akawasameheUkweli ndio huo, TFF na kamati yake uwezo wa mamlaka yake umeishia hapo tu...
Hiyo pesa anaweza asilipe, na akaachana kabisa na ishu za soka...
Na ndicho tunachotaka aachane kabisa na ishu za soka akafanye hata kilimo huko au uchawa kama wenzie wakina Baba levoUkweli ndio huo, TFF na kamati yake uwezo wa mamlaka yake umeishia hapo tu...
Hiyo pesa anaweza asilipe, na akaachana kabisa na ishu za soka...
Watamuweka selo za Karume mpaka alipe.Nauliza tu..asipo zilipa watamfanya nini
Hatuna hela ya bure.Ni vizuri yule mjinga atie akili. Sasa utopolo a.k.a kinyesi mliokuwa mnamshabikia, mchangieni mjinga mwenzenu bukubuku
Labda wanahitaji kutoka kwake ndio maana anazitafuta awapelekeeHatuna hela ya bure.
Karia kama anashida ya hela aende kwa Alshabaab wenzake Somalia wakateke meli wapate Kikomboleo.
OkayKamati ya Rufaa na Maadili ya Shirikisho la Soka nchini TFF chini ya Mwenyekiti wake Richard Mbaruku imempungizia adhabu Msemaji wa klabu ya Yanga, Haji Manara kutoka Tsh. Milioni 20 hadi Milioni 10.
Adhabu ya kifungo cha miaka miwili ya kutojihusisha na masuala ya Mpira ndani na nje ya nchi inaendelea.
Manara ameagizwa kulipa dola 4361.10 au Tsh. Milioni 10 ndani ya siku 30 kuanzia leo Septemba 14, 2022.