Haji Manara atamba,azindua kampeni ya YES WE CAN dhidi ya JS Saoura

Huyo anataka ubunge, ninamna ya kujifanyia promo kwa mgongo wa Simba
 
Kampeni nzuri! Jamaa ni mhamasishaji mzuri.
 
Mwarabu lazima akae tu hakuna jinsi. Point tatu mapemaaa. Kombe la mapinduzi watusamee tu safari hii.
 
slogan ya Obama kwenye soka...Haji rudi kwenye siasa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…