Haji Manara atangaza muda sio mrefu atafanya Press ya kuachana kabisa na mchezo wa mpira

Haji Manara atangaza muda sio mrefu atafanya Press ya kuachana kabisa na mchezo wa mpira

Unawezaje kuvumiliwa sehemu uliyowahi kuwatukana mnoo mnooo waktk upo upande wa pili...sehemu ulosema hawana akili...yani wenye akili clabuni hapo ni 2 tuuu...nani atakupenda huko???
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Akiwa kwenye tamasha la Wasafi jana pale Arusha, Haji Manara ameahidi siku si nyingi ataita Press kwa ajili ya kuwaaga watu wa mpira.

Amekaririwa akiongea laivu kuwa mpira umemtengezea sana uadui, hajui amewakosea nini washabiki wa mpira, anahofia usalama wa familia yake, anasema mpira uko damuni mwake lkn umevamiwa, anajua kuuelezea, kuuchambua, kuuandika, kuucheza na hata kuufundisha lkn kwa tathmini aliyoifanya anaona bora aendelee na maisha mengine.

Amesema ana kazi nyingi za kufanya za kumuingizia kipato ikiwemo Manara TV na kwamba mpira haujampa manufaa yoyote maishani mwake.

Amesema haitaji ukuu wa wilaya wala ukuu wa mkoa wala uwaziri kwa sababu hana uwezo wa kuhamasisha mifugo wala nn, ila in few next days ataitisha Press kuachana kabisa na mambo ya mpira.

Hamtanisikia tena kuongelea mambo ya Simba wala Yanga, nikiacha nimeacha kabisa, si mnanijua, ni kama ninapoachaga mke sirudii tena.

In my point of view, ukiona amefikia hapo jua huko aliko sasa ameshatibuana nao.
halafu ataenda kula polisi? manake hana profession ingine zaidi ya kudanga kwenye izo timu.
 
Kaona nafasi imeshazibwa na Ally Kamwe na ni kama Yanga wamemsusa kimtindo, akimaliza mda ataanza kujikomba tena kwa simba trust me!

Alipokuwa msemaji wa Simba nilianzisha hadi threads humu kwamba huyu jamaa hafai kuwa msemaji wetu Simba,kila saa ni kutukana na kukejeli Yanga,kuzungumzia wapinzani ni 98% na kuzungumzia timu na malengo ya timu 2% ,alipoondoka nilifurahi sana
Kuhusu hilo hata mimi alikuwa anaropoka mpk adui anajua mbinu zako,mfano tutampiga kenge yoyote mbele yetu sasa si ni kauli za kuvunjana miguu hizi!
 
Akiwa kwenye tamasha la Wasafi jana pale Arusha, Haji Manara ameahidi siku si nyingi ataita Press kwa ajili ya kuwaaga watu wa mpira.

Amekaririwa akiongea laivu kuwa mpira umemtengezea sana uadui, hajui amewakosea nini washabiki wa mpira, anahofia usalama wa familia yake, anasema mpira uko damuni mwake lkn umevamiwa, anajua kuuelezea, kuuchambua, kuuandika, kuucheza na hata kuufundisha lkn kwa tathmini aliyoifanya anaona bora aendelee na maisha mengine.

Amesema ana kazi nyingi za kufanya za kumuingizia kipato ikiwemo Manara TV na kwamba mpira haujampa manufaa yoyote maishani mwake.

Amesema haitaji ukuu wa wilaya wala ukuu wa mkoa wala uwaziri kwa sababu hana uwezo wa kuhamasisha mifugo wala nn, ila in few next days ataitisha Press kuachana kabisa na mambo ya mpira.

Hamtanisikia tena kuongelea mambo ya Simba wala Yanga, nikiacha nimeacha kabisa, si mnanijua, ni kama ninapoachaga mke sirudii tena.

In my point of view, ukiona amefikia hapo jua huko aliko sasa ameshatibuana nao.
Mjinga kwani anamkomoa nani au anamtia hasara nani
 
Akiwa kwenye tamasha la Wasafi jana pale Arusha, Haji Manara ameahidi siku si nyingi ataita Press kwa ajili ya kuwaaga watu wa mpira.

Amekaririwa akiongea laivu kuwa mpira umemtengezea sana uadui, hajui amewakosea nini washabiki wa mpira, anahofia usalama wa familia yake, anasema mpira uko damuni mwake lkn umevamiwa, anajua kuuelezea, kuuchambua, kuuandika, kuucheza na hata kuufundisha lkn kwa tathmini aliyoifanya anaona bora aendelee na maisha mengine.

Amesema ana kazi nyingi za kufanya za kumuingizia kipato ikiwemo Manara TV na kwamba mpira haujampa manufaa yoyote maishani mwake.

Amesema haitaji ukuu wa wilaya wala ukuu wa mkoa wala uwaziri kwa sababu hana uwezo wa kuhamasisha mifugo wala nn, ila in few next days ataitisha Press kuachana kabisa na mambo ya mpira.

Hamtanisikia tena kuongelea mambo ya Simba wala Yanga, nikiacha nimeacha kabisa, si mnanijua, ni kama ninapoachaga mke sirudii tena.

In my point of view, ukiona amefikia hapo jua huko aliko sasa ameshatibuana nao.
Tumempuuza
 
Anamwambia nani?. Kwani kuachana na mpira mpaka afanye Press Conference?. Very stupid.
 
Aliamini bila yeye mpira hauwezi kwenda. Sasa vijana wanafanya kazi vizuri kabisa kwa ushirikiano bila kuleteana chuki baina ya vilabu, mashabiki na media.
Upo sahihi kabisa. Yeye alikuwa analeta chuki na angesababisha mauaji yule bila kudhibitiwa mapema. Simba na Yanga toka enzi na enzi walikuwa watani wa jadi na sio.Mahasimu wa jadi. Yeye alileta uadui kati yetu na walichelewa sana kumfungia.
 
Sijui kwanini jamaa anajipa umuhimu ambao hana. Sijui kwanini anajionaga ni mtu wa thamani sana wakati uthamani huo hana. Mpira wa Tz ulikuwepo kabla yeye na hata huyo baba yake kuzaliwa na utaendelea kuwepo. Yeye atulize kijambio chake sasa.
 
Hivi kwani yupo huyu mtu? Btw shughuli yake ilishaisha kitambo,akubali tu ku move on! Alijiona ndio kila kitu,anashangaa mambo yanazidi kunoga bila uwepo wake..
 
Alikuwa amelewa.Ukimuuliza leo hajui hata alisema nini.Katika wapuuzi wanaoteswa na pombe ni Haji.
Anajifanya mtu wa ibada huku ni mlevi asiyemudu kilevi.Akinusa tu pombe kalewa.Akitangaza kujiuzulu na mambo ya mpira nichagulieni charity yeyote nitatoa laki 2.Hana huo uwezo.
 
Back
Top Bottom