Haji Manara atokwa na povu baada ya kulipuliwa na Abdi Banda

Manara yuko sahihi, simba walimvumilia sana banda kuna mechi na yanga alipewa kadi nyekundu ya makusudi kabisa pia kitendo cha kumpiga mchezaji wa kagera sugar tabia za banda na nyoso zimepishana kidogo leo kila akija yeye na vyombo vya habari ajifunze kwa akina Sammata wao miguu ndio inaongeza zaid
 
Duh....
 
Hizo timu ulizozitaja,makocha ndio wanaitwa mameneja. Sisi timu ina meneja na kocha. Ni mifumo tofauti ya kiuongozi,wala tusifananishe Apple na Peas! Kila kitu tunajadili kiushabiki badala ya ukweli. Upuuzi tu.
Point ipo hapo kwa nini tusiwe na wasemaji wa aina hiyo?na ndio kisa cha Banda kutoa hiyo tofauti na SA hakuna hayo mambo so inaelekea ni dhambi ku challenge status quo kwenye soka letu
 
Nawe jamaa unaonekana umeongea kishabiki. Hata kama manara alikosea lakini banda ni mpumbavu, haiwezekani ukasema maneno kama hayo. Zaidi alitakiwa awashkru simba kwa kupita hapo. Ila pia wachezaji wetu hawawezi kuongea mbele ya media. Mfano hata Boko kama captain kuongea kwa kujiamini mbele ya media kua lazima ubingwa tuchukue ni sio vzr lazima uwaheshimu wapinzani wako. Mfano Pep akiongea na media sijawahi msikia akisema lazima achukua ubingwa japo anaongza kwa point nyingi. Hiv Boko akishindwa kuchukua ubingwa atakuja kutuambia nini mana ameshatuaminisha mashabiki. Hata msuva asipo jirekebisha jinsi ya kuongea mbele ya media itampoza. Ukweli Banda kucheza Baroka anajiona yeye kashakua star wa bongo. Wasipoangalia kuongea mbele ya media itawaharibia sana mana always wanandishi wa habari ni wachokozi kwa maswali yao.
 
Unapojibu hoja njoo na mifano ya halisi hapa Tanzania. Kwa utamaduni wa bongo hakuna kocha ambaye anaisemea timu kama ulaya. Labda kidg saizi namuona kocha msaidizi wa simba akiongea kwenye pre match conference. Lakn always utasikia akina Haji manara. Boniface mkwasa yule wa Azamu nk. Makocha ka hawapo hata maswala ambayo makocha wanatakiwa waseme
 
Banda mdigo mbwembwe nyingi tabia za kipwani sana ujuaji ata ile siku ya gemu na Kongo kuna mida timu ilielemewa akawa anawaonyesha wenzake watumie akili sasa si ndio ujuaji kaz za kocha na team captain wataka uzifanye wewe kisa ni pro
 
Banda mdigo mbwembwe nyingi tabia za kipwani sana ujuaji ata ile siku ya gemu na Kongo kuna mida timu ilielemewa akawa anawaonyesha wenzake watumie akili sasa si ndio ujuaji kaz za kocha na team captain wataka uzifanye wewe kisa ni pro


mdigo au mnyasa?
 
Hebu tufafanulie Haji anashushaje soka la bongo, yeye ndio strategist wa TFF katika masuala ya soka Tanzania?
 
Unajua Job description ya msemaji wa klabu ya Chelsea na ya Simba, je zinafanana? Au wote muajiri wao ni mmoja mpaka JD zao zifanane.
Uendeshaji wa klabu kwa wenzetu ni tofauti na kwetu hilo lazima ulijue kwanza sio kudandia tu issues.
 
Man U au Chelsea nani anaongea na Press kuhusu issue za kiufundi au kuonewa na refa?ukipata jibu ndio utajua Banda yuko sahihi kuona wasemaji wa vilabu ni moja ya vikwazo la soka letu
Hizo ni disciplines ambazo vyama vya soka vimeweka na mchezaji akiongea kuhusu referee anaweza kula faini kali, ni taratibu walizojiwekea wao, usiige bila kujua backgrounds.
Hata manager anaweza kupigwa faini akilalamika hovyo kuhusu waamuzi.
 
Sio wachezaji tu hata mashabiki hawatakiwi kuongea kwa kudharau wapinzani wao, hapa Tz ni kawaida shabiki au kiongozi wa timu kusema mechi hii tunashinda, that's being disrespectful kwa timu pinzani.

Wenzetu hata shabiki akihojiwa redioni kuhusu timu yake kufungwa hatakiwa kuponda ushindi wa mpinzani anatakiwa atoe credit kwa aliyeshinda, ni tofauti sana na huku kwetu.

Na hiyo ndio tunaita 'Sportsmanship'. You give credit to where it deserves.
 
We haji yanga tu..
Banda yuko sahihi na itabaki hivyo.....we mswahili Fulani hivi....mwenzio alikuwa jerry...kuwa pro kama huyu Wa yanga ingawa timu siiipendi
Acha unafiki!Murro alikuwa pro kivipi?Unajidai huipendi Yanga?!!Hujioni ulivyo mnafiki mpenzi wa chura fc?!!
 
Pum.bavu kabisa! Msemaji wa Chelsea utamsikia clouds kila siku?Unaelewa kiingereza wewe?
Halafu unalinganishaje mpira wa kibongo na Manchester??!
 
Haji Manara pigaaa hao vyura fc!Wamemwagika Kwenye uzi huu kinafiki..
Sisi wana Simba tunakukubali saana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…