Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
TFF ni kijiwe cha wahuni wanapaswa kutojihusisha na mpira
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndondo Sikh hizi zinasimamiwa na tff?????Hili hata sijui niliweke vipi, jana au juzi nimemuona Shaffih Dauda akizungumzia utambulisho wa Diamond kwenye kudhamini mashindano yake ya Ndondo Cup.
Ikumbukwe Shaffih naye aliadhibiwa na Kamati ya Maadili asijihusishe na shughuli za michezo.
Tiketi za ndege analipiwa huyoShirikisho la Mpira Tanzania linatakiwa kuchukua hatua kali zaidi kwa @hajismanara kwasababu ameendelea kukiuka adhabu aliyopewa ya kufungiwa miaka miwili. Hii ni dhihaka kubwa kwa chombo chetu cha kusimamia mpira nchini na kwa Wizara ya Michezo kwa ujumla wake, lakini inavuka na kudhalilisha utawala wa kisheria nchini.
Manara amefanya tukio la uvunjifu siku ya Wananchi wiki mbili zilizopita, Wakati TFF ikiwa tayari imemfikisha upya kwenye kamati ya nidhamu kwa mara nyingine, jana pia amekiuka na kuendelea kuwa msemaji wa Yanga akiuzungumzia mkataba wa Yanga na Jackson Group.
Narudia tena kushauri mamlaka za soka nchini @tanfootball kwamba Mpira huu wasipodhibitiwa watu wahuni kama huyu Manara basi tusahau mageuzi na uwekezaji ulioanza kujitokeza sasa. Mpira ni biashara kubwa sasa, Ni sekta inayoajiri na kulipa vijana wengi zaidi na kwa haraka zaidi Tanzania na nje ya nchi.
Manara aondolewe kabisa katika mpira wa nchi hii kwakufungiwa maisha, Ni kijana anayekosa sifa za kuwepo mpirani, Michezo iko mingi Tanzania aende kwingine ambako hakuna kanuni na sheria.
TFF simamieni mpira, simamieni kanuni.
Credit,
YN
Adhabu yeyote ya kumzuia mtu kufanya kazi wakati wewe sio ulio muajiri lazima itakiukwa....sasa hivi namtazama Tundaman live etc ana perform... nakumbuka adhabu yake ya miezi mitatu Kwa kuingia na jeneza Simba day....ukweli adhabu hizi ni za kipumbavu...wote Manara,Dauda na Tundaman nilijua watazi kiuka...adhabu stahiki ni faini Tu Kwa waajiri waoDauda ameona hakuna kitu Haji amefanywa na ameendelea kuusemea mpira bila kujali! Pamoja na mapungufu ya viongozi wa TFF ( Kawaida kwa binadamu wote) lakini upo uwezekano wanasiasa wa juu wanaingilia haya mambo! Kiburi cha Haji si GSM tu, kuna sababu na hili sakata litakuja kuibua mengi.
Sasa TFF wamedharaulika na mpaka sasa hawajafanya lolote. Wengi tunasubiri kuona hili sakata litafia wapi. Tutawakumbusha hadi tuone mwisho.
Unauhakika mtoa kauli sio demu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nilitaka kuona umeandika nn?? Bado maumivu yako pale pale. Poleeeeeeh.Ngoja aendelee tu kuwanyoosha ili wakati mwingine mjifunze kuacha kutoa adhabu za mihemko, na za kumfurahisha Msomali wenu.
Kama mnaweza basi nendeni mkaufunge ule mdomo wake kwa gundi ya super glue. Kinyume na hapo, atawavuruga mpaka mjute kumfahamu
Ndondo cup haiko chini ya TFFHili hata sijui niliweke vipi, jana au juzi nimemuona Shaffih Dauda akizungumzia utambulisho wa Diamond kwenye kudhamini mashindano yake ya Ndondo Cup.
Ikumbukwe Shaffih naye aliadhibiwa na Kamati ya Maadili asijihusishe na shughuli za michezo.
Nisamehe dada mkubwa.Unauhakika mtoa kauli sio demu?
Au demu haruhusiwi kushabikia futbol.