Haji Manara Awachokoza tena TFF

Hili hata sijui niliweke vipi, jana au juzi nimemuona Shaffih Dauda akizungumzia utambulisho wa Diamond kwenye kudhamini mashindano yake ya Ndondo Cup.

Ikumbukwe Shaffih naye aliadhibiwa na Kamati ya Maadili asijihusishe na shughuli za michezo.
Ndondo Sikh hizi zinasimamiwa na tff?????
 
Tiketi za ndege analipiwa huyo
 
Ndondo Sikh hizi zinasimamiwa na tff?????
Mashindano yoyote ya Mpira wa Miguu Tanzania yako chini ya TFF. Hata UMISSETA na UMITASHUMTA pia.
 
Kwa hiyo TFF wanamiliki haki ya Manara kuongea? Acheni kutukuza binadamu wenzenu.
 
Adhabu yeyote ya kumzuia mtu kufanya kazi wakati wewe sio ulio muajiri lazima itakiukwa....sasa hivi namtazama Tundaman live etc ana perform... nakumbuka adhabu yake ya miezi mitatu Kwa kuingia na jeneza Simba day....ukweli adhabu hizi ni za kipumbavu...wote Manara,Dauda na Tundaman nilijua watazi kiuka...adhabu stahiki ni faini Tu Kwa waajiri wao
 
Ngoja aendelee tu kuwanyoosha ili wakati mwingine mjifunze kuacha kutoa adhabu za mihemko, na za kumfurahisha Msomali wenu.

Kama mnaweza basi nendeni mkaufunge ule mdomo wake kwa gundi ya super glue. Kinyume na hapo, atawavuruga mpaka mjute kumfahamu
 
Kama wamemfungia hiyo miaka 2 na bado anaongea, hata wakimfungia maisha ataongea, je utashauri tff wafanye nn kingine?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nilitaka kuona umeandika nn?? Bado maumivu yako pale pale. Poleeeeeeh.
 
Hili hata sijui niliweke vipi, jana au juzi nimemuona Shaffih Dauda akizungumzia utambulisho wa Diamond kwenye kudhamini mashindano yake ya Ndondo Cup.

Ikumbukwe Shaffih naye aliadhibiwa na Kamati ya Maadili asijihusishe na shughuli za michezo.
Ndondo cup haiko chini ya TFF
 
Shida nikwamba umemwambia MTU asijihusishe na mpira akiwa wapi unaweza ukalifungia gazeti kuchapwa kilasiku ukasahau kulifungia online
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…