OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Kumsaidia Haji ni kumuambia UKWELI pale anapokosea tu, wanaomzunguka HAWAMPENDI kwakuwa hawawezi kumuambia ukweli mchungu ambao ni tiba kwa tabia zake.
Tunaoonekana hatumpendi ndio kiuhalisia TUNAMPENDA ila kwakuwa anazungukwa na WAHUNI ambao wanamuelekeza shimoni na yeye kajivika upofu ndiyo maana ndani ya siku 3 anaomba msamaha mara 2.
Ukimuambia ukweli wewe ni adui na WAPAMBE watakuandama sana kwa maneno, lakini leo masikini ya Mungu anahangaika pekeyake na misamaha isiyoisha.
Haji HACHUKIWI ingawa yeye mwenyewe hajipendi na wanaomzunguka hawajahi kumpenda.
Wanashangilia anguko lake kwa kumvika Ufalme hewa na yeye anajiona mfalme kweli kumbe anajiingiza kwenye lindi la matatizo.
Tunaomuambia ukweli ni vile tunaochukizwa na tabia zake ambazo sio za kiuanamichezo anazozionyesha kila uchao kwa watu tofauti tofauti.
Nakukumbusha tu kumuomba msamaha Waziri na ukakiri kukosea hadharani ni vyema sana. Lakini pia unadhihirisha kwamba ulipomkosea Waziri ulifanya kosa la KIMAADILI.
Kosa la kimaadili linaweza kuishi hata miaka 10 likafufuliwa na ukashitakiwa nalo na ukaadhibiwa. Wanaokuchukia hawawezi kukuambia hivi. Sisi tunaokupenda pekee ndo tunakupa ukumbusho huu jadidi.
BIN KAZUMARI (The voice of the voiceless)
My Take
Haji alipewa adhabu ya kumtukana Rais Karia. Hili la kumsema uongo Waziri ni kosa lingine kabisa. Mamlaka zichukue hatua kali ili iwe fundisho kwa Waropokaji na Machawa wote mfano wa Manara. Mbali na adhabu pia apimwe akili
Tunaoonekana hatumpendi ndio kiuhalisia TUNAMPENDA ila kwakuwa anazungukwa na WAHUNI ambao wanamuelekeza shimoni na yeye kajivika upofu ndiyo maana ndani ya siku 3 anaomba msamaha mara 2.
Ukimuambia ukweli wewe ni adui na WAPAMBE watakuandama sana kwa maneno, lakini leo masikini ya Mungu anahangaika pekeyake na misamaha isiyoisha.
Haji HACHUKIWI ingawa yeye mwenyewe hajipendi na wanaomzunguka hawajahi kumpenda.
Wanashangilia anguko lake kwa kumvika Ufalme hewa na yeye anajiona mfalme kweli kumbe anajiingiza kwenye lindi la matatizo.
Tunaomuambia ukweli ni vile tunaochukizwa na tabia zake ambazo sio za kiuanamichezo anazozionyesha kila uchao kwa watu tofauti tofauti.
Nakukumbusha tu kumuomba msamaha Waziri na ukakiri kukosea hadharani ni vyema sana. Lakini pia unadhihirisha kwamba ulipomkosea Waziri ulifanya kosa la KIMAADILI.
Kosa la kimaadili linaweza kuishi hata miaka 10 likafufuliwa na ukashitakiwa nalo na ukaadhibiwa. Wanaokuchukia hawawezi kukuambia hivi. Sisi tunaokupenda pekee ndo tunakupa ukumbusho huu jadidi.
BIN KAZUMARI (The voice of the voiceless)
My Take
Haji alipewa adhabu ya kumtukana Rais Karia. Hili la kumsema uongo Waziri ni kosa lingine kabisa. Mamlaka zichukue hatua kali ili iwe fundisho kwa Waropokaji na Machawa wote mfano wa Manara. Mbali na adhabu pia apimwe akili