Waminyato JF-Expert Member Joined Jun 22, 2022 Posts 2,197 Reaction score 4,525 Aug 5, 2022 #21 pandagichiza said: Mwanzo alikuwa haamini kama anaweza kufungiwa Click to expand... Bado Kidau nae anataka aombwe radhi domo kaya alimtaja kwa kumpa shutuma za uzushi.
pandagichiza said: Mwanzo alikuwa haamini kama anaweza kufungiwa Click to expand... Bado Kidau nae anataka aombwe radhi domo kaya alimtaja kwa kumpa shutuma za uzushi.
pandagichiza JF-Expert Member Joined Jul 9, 2013 Posts 5,248 Reaction score 3,663 Aug 5, 2022 #22 Halafu akisamehewa utamsikia "Haki imetendeka" Watu wanamuonea wivu kwa umaarufu wake Yanga inahujumiwa Vita ni kubwa sana🤩 Na maneno mengine mengi 🤩🤩🤩
Halafu akisamehewa utamsikia "Haki imetendeka" Watu wanamuonea wivu kwa umaarufu wake Yanga inahujumiwa Vita ni kubwa sana🤩 Na maneno mengine mengi 🤩🤩🤩
Last emperor JF-Expert Member Joined Mar 22, 2015 Posts 10,351 Reaction score 9,855 Aug 5, 2022 #23 Huyu jamaa bana. Amemuomba waziri msamaha halaf mwishoni anamsonya 😢
EddyC4 Senior Member Joined Jul 19, 2021 Posts 122 Reaction score 96 Aug 5, 2022 #24 Ya Mwaka gani hiyo Mkuu..??
EddyC4 Senior Member Joined Jul 19, 2021 Posts 122 Reaction score 96 Aug 5, 2022 #25 SAGAI GALGANO said: Kwisha habari yake huyu ZeruzeruView attachment 2314069 Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app Click to expand... Ya Mwaka gani hiyo Mkuu..??
SAGAI GALGANO said: Kwisha habari yake huyu ZeruzeruView attachment 2314069 Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app Click to expand... Ya Mwaka gani hiyo Mkuu..??
Se-ronga JF-Expert Member Joined Jun 3, 2015 Posts 650 Reaction score 909 Aug 5, 2022 #26 Mimi naona hili sakata ni kama vile linamuongezea umaarufu Haji kuliko kumpoteza!