Haji Manara baadae atasema aliombwa na Waziri aombe msamaha?!

Halafu akisamehewa utamsikia
"Haki imetendeka"
Watu wanamuonea wivu kwa umaarufu wake
Yanga inahujumiwa
Vita ni kubwa sana🤩
Na maneno mengine mengi 🤩🤩🤩
 
Huyu jamaa bana. Amemuomba waziri msamaha halaf mwishoni anamsonya 😢
 
Mimi naona hili sakata ni kama vile linamuongezea umaarufu Haji kuliko kumpoteza!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…