Haji Manara bado tu unamuamini Alex Mgongolwa kuwa ishtaki Simba SC kwa Kukuajiri bila Mkataba na atakusimamia Kisheria ushinde?

Haji Manara bado tu unamuamini Alex Mgongolwa kuwa ishtaki Simba SC kwa Kukuajiri bila Mkataba na atakusimamia Kisheria ushinde?

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Halafu nashangaa sana kuona ya kwamba ulitumia Nguvu Kubwa Kulisemea hili Mitandaoni huku Ukiwatisha Simba SC lakini ghafla ukapoa na sasa hivi hutaki hata Kuliongolea.

Tunajua ni huyu huyu "Failure Lawyer' Alex Mgongolwa ndiyo alikutia Ndimu ( Kushawishi ) uwashtaki Simba SC kwa Kukuajiri bila Mkataba ila kuna Wakili Mmoja Mstaarabu na Makini (namhifadhi Jina) alikuita Kwake Mikocheni (si mbali na kwa Mzee Warioba) na Kukuonya kutofanya hivyo kwani kuna mahala nawe ulikosea na Simba SC wangekutega hapo hapo na Kuumbuka kama ambavyo Wewe na Yanga SC yako jana mmeumbuka huko CAS na sasa mmekuwa Wapole kama Kuku wanaoumwa Kideri.

Endelea kuwaona Simba SC ni Mazuzu!!
 
Manara kwa sasa anarekodi clip za sauti za kutukana na kuzisambaza.

Ameishiwa hana tena mbinu wala ushawishi kama ule wa mwanzo.

Mo kamvumilia anatukana awezavyo ila anaangaliwa tu.

Kiukweli manara siyo mtu wa kumwamini katika kufanya naye kazi, ipo siku utopolo atawageuka.
 
Halafu nashangaa sana kuona ya kwamba ulitumia Nguvu Kubwa Kulisemea hili Mitandaoni huku Ukiwatisha Simba SC lakini ghafla ukapoa na sasa hivi hutaki hata Kuliongolea.

Tunajua ni huyu huyu "Failure Lawyer' Alex Mgongolwa ndiyo alikutia Ndimu ( Kushawishi ) uwashtaki Simba SC kwa Kukuajiri bila Mkataba ila kuna Wakili Mmoja Mstaarabu na Makini (namhifadhi Jina) alikuita Kwake Mikocheni (si mbali na kwa Mzee Warioba) na Kukuonya kutofanya hivyo kwani kuna mahala nawe ulikosea na Simba SC wangekutega hapo hapo na Kuumbuka kama ambavyo Wewe na Yanga SC yako jana mmeumbuka huko CAS na sasa mmekuwa Wapole kama Kuku wanaoumwa Kideri.

Endelea kuwaona Simba SC ni Mazuzu!!
Wewe usicheze na alex mgongolwa

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Indeed , simba ni MAZUZU
Halafu nashangaa sana kuona ya kwamba ulitumia Nguvu Kubwa Kulisemea hili Mitandaoni huku Ukiwatisha Simba SC lakini ghafla ukapoa na sasa hivi hutaki hata Kuliongolea.

Tunajua ni huyu huyu "Failure Lawyer' Alex Mgongolwa ndiyo alikutia Ndimu ( Kushawishi ) uwashtaki Simba SC kwa Kukuajiri bila Mkataba ila kuna Wakili Mmoja Mstaarabu na Makini (namhifadhi Jina) alikuita Kwake Mikocheni (si mbali na kwa Mzee Warioba) na Kukuonya kutofanya hivyo kwani kuna mahala nawe ulikosea na Simba SC wangekutega hapo hapo na Kuumbuka kama ambavyo Wewe na Yanga SC yako jana mmeumbuka huko CAS na sasa mmekuwa Wapole kama Kuku wanaoumwa Kideri.

Endelea kuwaona Simba SC ni Mazuzu!!
a n
 
Yanga bhana[emoji2959][emoji2959][emoji1313][emoji1313][emoji1313]View attachment 2023784
IMG-20211124-WA0001.jpg
 
Back
Top Bottom