Haji Manara alijinasibu kwamba Simba wana uwezo wa kucheza mechi mbili ndani ya siku moja! kutokana na upana wa kikosi
swali je kwa nini TFF wamewapa wiki mbili dhidi ya Nkana wakaweka viporo vya ligi ambavyo pia vimeota Nyasi yanga anasonga mbele hahahaaaaa....... Mikia (MBUMBUMBU) FC bwana hizo mbwembwe zote ziko wapi hamna uwezo huo na hamtatoka kwa Nkana
swali je kwa nini TFF wamewapa wiki mbili dhidi ya Nkana wakaweka viporo vya ligi ambavyo pia vimeota Nyasi yanga anasonga mbele hahahaaaaa....... Mikia (MBUMBUMBU) FC bwana hizo mbwembwe zote ziko wapi hamna uwezo huo na hamtatoka kwa Nkana