Walianzisha neno kutoa Povu, walimaanisha mtu, anapo ongea kwa nguvu, alafu anaongea mda mrefu, ndipo povu mtoka pembezoni mwa mdomo.Naona povu linaendelea kukutoka
Kanuni za fofa ndio zaibana simba ila ina uwezo kabisaaaaaa, manara hajakosea. Kima salamba wamatosha kuisambaratisha yanga huku kina okwi wakiwa nje ya nchi.Haji Manara alijinasibu kwamba Simba wana uwezo wa kucheza mechi mbili ndani ya siku moja! kutokana na upana wa kikosi
swali je kwa nini TFF wamewapa wiki mbili dhidi ya Nkana wakaweka viporo vya ligi ambavyo pia vimeota Nyasi yanga anasonga mbele hahahaaaaa....... Mikia (MBUMBUMBU) FC bwana hizo mbwembwe zote ziko wapi hamna uwezo huo na hamtatoka kwa Nkana
Mechi na Biashara kabla ya kucheza na Yanga..Yanga mzima mtu mwenye akili, Mzee akilimali basi, Wengine akili zao kama Zahera tu.
Hivi Simba ndiyo inapanga ratiba ya ligi, Waambieni Hao TFF, wapange mnavyoona nyie, alafu muone maneno ya manara, yakitimia.
Hivi watu mkivaa hizi nguo za kijani akili zinahama ee, mnamtaka Manara afute kauli kashwindwa kufanya lipi linaloendana kauli yake, Kijani ni shidaa po po te walipo.
Hahaaaaa Nkana atawafanya mbayaMbona maneno ya This is simbaa na 4 G hayasikiki siku hizi nini kimetokea kwa kikosi kipana?
Mimi nimeomba uweke ushahidi hapa, unaendelea kuandika yale yale, ya mtaani kwenu, umeambiawa na mama Juma, wanaume hawabishani kwa sababu tu wanabishana, bali wanabishana ili kupata mwafaka.Mechi na Biashara kabla ya kucheza na Yanga..
mliandika barua TFF ipanguliwe mjiandae kucheza na mabingwa wa kihistoria..
sasa hivi labda mmeomba kimyakimya TFF wakawafichia aibu yenu..maana wote pale mikia..
Wanyumbani kwani wewe ni jinsia gani, nauliza hivi maana kila jinsia, wana tabia zinazotofautiana.Mbona maneno ya This is simbaa na 4 G hayasikiki siku hizi nini kimetokea kwa kikosi kipana?
Hii ndiyo akili iliyobakia, basi ya kukaa, mkiwaza Simba kufungwa.Hahaaaaa Nkana atawafanya mbaya
Yule Mgonjwa wa akili ndo maana anaropoka ropoka sana,na tifua tifua hii ya karia ndo zero kabisaHaji Manara alijinasibu kwamba Simba wana uwezo wa kucheza mechi mbili ndani ya siku moja! kutokana na upana wa kikosi
swali je kwa nini TFF wamewapa wiki mbili dhidi ya Nkana wakaweka viporo vya ligi ambavyo pia vimeota Nyasi yanga anasonga mbele hahahaaaaa....... Mikia (MBUMBUMBU) FC bwana hizo mbwembwe zote ziko wapi hamna uwezo huo na hamtatoka kwa Nkana
Ahaa kumbe mnasubilia mwanze kucheza viporo ndipo tutasikia hayo maneno yenu au napo hamtaweza kwasababu hata mkivimaliza nafasi ya kwanza na ya pili si yenu?Wanyumbani kwani wewe ni jinsia gani, nauliza hivi maana kila jinsia, wana tabia zinazotofautiana.
Mechi ya mwisho Simba kucheza, matokeo yalikuaje, au wewe unaandika tu ili nawe ufurahishe tu nafsi kuwa umeandika Jamii forums.
Hivi wewe Unaongelea, nini hasa, Unajua, kuna watu humu hawaelewi hata wanachoandika, ndiyo aina ya mashabiki wa Yanga hawa.Ahaa kumbe mnasubilia mwanze kucheza viporo ndipo tutasikia hayo maneno yenu au napo hamtaweza kwasababu hata mkivimaliza nafasi ya kwanza na ya pili si yenu?
Mtani naona hutaki kukubali ukweli rejea mada ukweli ni kwamba mliomba msicheze ligi hivyo hamna uwezo WA kucheza mechi mbili kwa siku moja ubishi wa nini na hyo ndo shida mbumbumbu hamtaki kukubali mbona yanga tunakubali hali ya kifedha nI mbaya nani asiyejua kuwa Karia ni Simba mambo mengine jiongeze mtaniHivi wewe Unaongelea, nini hasa, Unajua, kuna watu humu hawaelewi hata wanachoandika, ndiyo aina ya mashabiki wa Yanga hawa.
Labda niwapongezeni tu, kwa kumsajili Haruna Moshi, Boban.
Hongereni kwa hatua hiyo mengine sioni mwenye uweze wa kujibu hoja kwa hoja hapa, labda mkusanyane matawi ya wanachama wa Yanga angalau Sita hivi, henda kwenye uwingi huo ndimo anaweza kupatika anaeweza kujibu hoja kwa hoja.
Wengi walikuwa kama wewe lakina hawaonekani endelea kuitetea timu yenu, nawe utatokomea kusikojulikana au wewe utaaga kuwa umejiuzuru kuitetea simba?Hivi wewe Unaongelea, nini hasa, Unajua, kuna watu humu hawaelewi hata wanachoandika, ndiyo aina ya mashabiki wa Yanga hawa.
Labda niwapongezeni tu, kwa kumsajili Haruna Moshi, Boban.
Hongereni kwa hatua hiyo mengine sioni mwenye uweze wa kujibu hoja kwa hoja hapa, labda mkusanyane matawi ya wanachama wa Yanga angalau Sita hivi, henda kwenye uwingi huo ndimo anaweza kupatika anaeweza kujibu hoja kwa hoja.
Madhara ya njaa mkuu.Ukiwa na njaa unapoteza uwezo wa kutoa maamuzi au hoja zenye mantiki. Kocha kaleta mchezaji sijui anaitwa Bomba mapoyoyo wakamshangilia uwanjani. Leo kabadilika ohh Bomba huyu sio yule ninayemjua. Afadhali tumsajili Boban. Bado Nurdin Bakari na Mwalala.Hivi wewe Unaongelea, nini hasa, Unajua, kuna watu humu hawaelewi hata wanachoandika, ndiyo aina ya mashabiki wa Yanga hawa.
Labda niwapongezeni tu, kwa kumsajili Haruna Moshi, Boban.
Hongereni kwa hatua hiyo mengine sioni mwenye uweze wa kujibu hoja kwa hoja hapa, labda mkusanyane matawi ya wanachama wa Yanga angalau Sita hivi, henda kwenye uwingi huo ndimo anaweza kupatika anaeweza kujibu hoja kwa hoja.
Teh teh mnavyoisubiria km mwana mpotevu katikati ya jangwa na kiu ya majina mishahara yote imeshatoka .. Azam ajiandae na maumivu
Naitetea kwa tuhuma gani, Simba ni Simbs tu tutaendelea kuwatesa tu.Wengi walikuwa kama wewe lakina hawaonekani endelea kuitetea timu yenu, nawe utatokomea kusikojulikana au wewe utaaga kuwa umejiuzuru kuitetea simba?
Ni kweli kabisa mkuu, hakuna kitu kibaya kama njaa.Mkuu
Madhara ya njaa mkuu.Ukiwa na njaa unapoteza uwezo wa kutoa maamuzi au hoja zenye mantiki. Kocha kaleta mchezaji sijui anaitwa Bomba mapoyoyo wakamshangilia uwanjani. Leo kabadilika ohh Bomba huyu sio yule ninayemjua. Afadhali tumsajili Boban. Bado Nurdin Bakari na Mwalala.
Chezea njaa wewe.
Yule ni taahira anayewakilisha mamia ya mataahira wengine. Wala usishangae mkuu.Haji Manara alijinasibu kwamba Simba wana uwezo wa kucheza mechi mbili ndani ya siku moja! kutokana na upana wa kikosi
swali je kwa nini TFF wamewapa wiki mbili dhidi ya Nkana wakaweka viporo vya ligi ambavyo pia vimeota Nyasi yanga anasonga mbele hahahaaaaa....... Mikia (MBUMBUMBU) FC bwana hizo mbwembwe zote ziko wapi hamna uwezo huo na hamtatoka kwa Nkana
Hahahaha...!Hahahaaa Manara akiwa na kikosi chenye uwezo wa kucheza mechi mbili kwa siku moja ila kwa Nkana Fc wiki mbili mnachekesha sana MIKIA FC (MBUMBUMBU FC)