johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mbona umechangia?!Who is that mpaka unapoteza muda wako na Server za JF kwa uchafu huu? Tuweni serious somtime na kuacha tuvitu twa ovyo ovyo japo tuonekane tuko smart upstair basiiii.
Chuchu aisee usiharibu kiswahili,ipo tofauti kubwa kati ya chuchu na Nyonyo.Na zile nyonyo alizokuwa ananyonya kwa wale malaya nayo ni sehemu ya kazi?! Au mi wa mbwinde sielewi?!!
Kwani unaona manara ni mtoto,Amewahi kuwakatibu uenezi CCM!!? This is amazing if true[emoji854]
Mwenezi mkoa, binti yanguAmewahi kuwakatibu uenezi CCM!!? This is amazing if true[emoji854]
Kwa watoto wa Kariakoo huyo anakuwa mtoto wa Jangwani.Kwani unaona manara ni mtoto,
Alishawahi kuwa mwana habari huyo
Alishawahi kuwa shekhe huyo
Manara ni mtu mzima mwenye umbo la ki JK JK .
Mtoto wa kariakoo huyo
Manara amekuwa akichambua mpira enzi hizo akina Maulid kitenge watoto watoto bado
Sawa, kufilwa na wenzake ipoje? Tunaomba aje kutufafanulia hiliAliyekuwa Katibu wa Uenezi CCM jijini DSM Komredi Haji Manara amesema yeye ni mtu makini, anayeheshimika na jamii na mwenye utu
Manara amesema " Haji wa Social media na Haji Real ni Watu Wawili tofauti" na kama kuna mtu anabisha basi akawaulize Rafiki zake na Watu wake wa Karibu
Haji Manara amesema yeye haishi yale maisha ya mitandaoni bali ile ni Kazi kama Kazi nyingine
Source: Clouds TV
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119]Mbona umechangia?!
Weyeee maneno gan teeenSawa, kufilwa na wenzake ipoje? Tunaomba aje kutufafanulia hili
Pale Twiga aliletwa tu kutokea Kigogo 😂Kwa watoto wa Kariakoo huyo anakuwa mtoto wa Jangwani.
Wabongo bn!Na zile nyonyo alizokuwa ananyonya kwa wale malaya nayo ni sehemu ya kazi?! Au mi wa mbwinde sielewi?!!
Fikiria ufanye ufisadi hadi CCM wakufukuze. Unakuwa uko level za peke yako hasa.AAmewahi kuwakatibu uenezi CCM!!? This is amazing if true[emoji854]