Haji Manara: Haji wa mitandaoni na Haji halisi ni watu wawili tofauti. Siishi kama mnavyoniona mitandaoni

Haji Manara: Haji wa mitandaoni na Haji halisi ni watu wawili tofauti. Siishi kama mnavyoniona mitandaoni

Huyu jamaa sijui yupoje au ana shida gani, naona ndoa zake zinakufa kila mara, anaoa kwa mbwembwe baada ya muda unasikia ndoa ilishaisha siku nyingi.
 
Who is that mpaka unapoteza muda wako na Server za JF kwa uchafu huu? Tuweni serious somtime na kuacha tuvitu twa ovyo ovyo japo tuonekane tuko smart upstair basiiii.

We dont even know your name? He is somebody, acheni wivu wa kindezi.
 
Kwani unaona manara ni mtoto,
Alishawahi kuwa mwana habari huyo

Alishawahi kuwa shekhe huyo

Manara ni mtu mzima mwenye umbo la ki JK JK .

Mtoto wa kariakoo huyo

Manara amekuwa akichambua mpira enzi hizo akina Maulid kitenge watoto watoto bado
lakini hataki kuzeeka bwege yule,Leo ukimuuliza umri wake atakwambia yupo kwenye 40 wakati yupo 50s
 
Back
Top Bottom