Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Who is that mpaka unapoteza muda wako na Server za JF kwa uchafu huu? Tuweni serious somtime na kuacha tuvitu twa ovyo ovyo japo tuonekane tuko smart upstair basiiii.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na zile nyonyo alizokuwa ananyonya kwa wale malaya nayo ni sehemu ya kazi?! Au mi wa mbwinde sielewi?!!
lakini hataki kuzeeka bwege yule,Leo ukimuuliza umri wake atakwambia yupo kwenye 40 wakati yupo 50sKwani unaona manara ni mtoto,
Alishawahi kuwa mwana habari huyo
Alishawahi kuwa shekhe huyo
Manara ni mtu mzima mwenye umbo la ki JK JK .
Mtoto wa kariakoo huyo
Manara amekuwa akichambua mpira enzi hizo akina Maulid kitenge watoto watoto bado
What??Sawa, kufilwa na wenzake ipoje? Tunaomba aje kutufafanulia hili
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Fikiria ufanye ufisadi hadi CCM wakufukuze. Unakuwa uko level za peke yako hasa.
😂😂😂😂Fikiria ufanye ufisadi hadi CCM wakufukuze. Unakuwa uko level za peke yako hasa.
[emoji23][emoji23][emoji23]Fikiria ufanye ufisadi hadi CCM wakufukuze. Unakuwa uko level za peke yako hasa.
Ohooo unashangaa ya Manara, jamaa ana makuu yule usimuone vile.What??
Ndio amewahi kufikia hatua hiyo ya jamaa alivyosemaOhooo unashangaa ya Manara, jamaa ana makuu yule usimuone vile.