Kila nikifikiria mdomo wa manara na yale meno akili inagoma au ni filter jamani kututisha watu tuone mkaka hafai kupata warembo?
Hapo si kafuata umaarufu bali kafuata ankaraWadada siku hizi sio kwa kupenda kiki, sidhani kama hapa kuna mapenzi nawaza tu. Ukiwa na manara ni full kuongelewa mwezi mzima naona ndicho wanachofata
Huko mbali Sana Kaka.Ataachika tuu, tena kabla ya 2025
Acha tuu best,tunaweza kuonekana wabaguzi ila ki ukweli hapana aiseeNa ile pua uwiiii bado macho yao yalivyo jamani hao wadada wana moyo aki Mungu hakunyimi vyote
Ila ana binti mrembo kweli wala hata hajafata pua ya baba ake
😂😂Acha tuu best,tunaweza kuonekana wabaguzi ila ki ukweli hapana aisee
Ataachika tuu, tena kabla ya 2025