Haji Manara hana baya, yeye michongo yote anaipata Instagram

Haji Manara hana baya, yeye michongo yote anaipata Instagram

Kila nikifikiria mdomo wa manara na yale meno akili inagoma au ni filter jamani kututisha watu tuone mkaka hafai kupata warembo?

Na ile pua uwiiii bado macho yao yalivyo jamani hao wadada wana moyo aki Mungu hakunyimi vyote
Ila ana binti mrembo kweli wala hata hajafata pua ya baba ake
 
Na ile pua uwiiii bado macho yao yalivyo jamani hao wadada wana moyo aki Mungu hakunyimi vyote
Ila ana binti mrembo kweli wala hata hajafata pua ya baba ake
Acha tuu best,tunaweza kuonekana wabaguzi ila ki ukweli hapana aisee
 
Back
Top Bottom