Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
binafsi sina tatizo na haji manara sababu simfaham na hanifaham pia physically. nimemfaham kwa kumwona kwenye media. lakini kutokana na mabadiliko makubwa ya kimuundo yanayofanyika katika klabu ya simba nadhan sasa wanahitaji kupata mtu ambaye ni msomi na mwenye taaluma ya PR kwa kiasi kikubwa. manara alifaa kipindi kile team inaendeshwa kiswahili akiendana na mwenzie jerry muro. lakini kwa sasa si mtu wa kufaa tena maana uwezo wake ni mdogo. hayafaham mambo, hana uelewa wa mpira wa mikuu lakini najua ni mshabiki wa simba mzuri.
asifukuzwe kazi moja kwa moja. mimi napenda aendelee kupeleka watoto wake chooni bila shida. ila apewe jukumu la yeye kuwa kiongoz wa kikundi flan cha ushangiliaji na pia kushambuliana na watu kwenye mitandao kwa lugha za kihuni au matusi. huko anaweza akaendelea na kazi hiyo maana kuna ambao kiukweli wanaendana na uelewa wake haji manara.
apatikane PR msomi mwenye kuelewa matumizi mazuri ya lugha, mwenye kuelewa mpira pia. mwenye akili kubwa na ambaye hatakuwa akikimbizana na watoto wa darasa la saba na form failures kwenye media. awepo mtu ambaye atakapokuwa anahojiwa ajue anaulizwa swali gani na ajibu kitu gani. mtu mwenye uelewa mkubwa pia kuwasaida waaandishi wetu wengi ambao pia ni vilaza.
so nasisitiza asifukuzwe kazi ila abadilishiwe majukumu kwa sababu majukumu aliyo nayo ni makubwa na club sasa imekuwa ya kisasa inahitaji mtu msomi na mwelewa.mtu mwenye ufaham wa kutosha na si wa mipasho na maneno ya hovyo hovyo. huu ni ushauri wangu kwa klabu ya simba. nakaribisha mapovu maana najua naye akiambia kuhusu hii thread atakuja kumwaga mapovu yake hapa akidhani nataka mchafulia kitumbua chake kwa mchanga.si lengo langu hata kidogo.
tukutane tarehe 8/8 simba day
asifukuzwe kazi moja kwa moja. mimi napenda aendelee kupeleka watoto wake chooni bila shida. ila apewe jukumu la yeye kuwa kiongoz wa kikundi flan cha ushangiliaji na pia kushambuliana na watu kwenye mitandao kwa lugha za kihuni au matusi. huko anaweza akaendelea na kazi hiyo maana kuna ambao kiukweli wanaendana na uelewa wake haji manara.
apatikane PR msomi mwenye kuelewa matumizi mazuri ya lugha, mwenye kuelewa mpira pia. mwenye akili kubwa na ambaye hatakuwa akikimbizana na watoto wa darasa la saba na form failures kwenye media. awepo mtu ambaye atakapokuwa anahojiwa ajue anaulizwa swali gani na ajibu kitu gani. mtu mwenye uelewa mkubwa pia kuwasaida waaandishi wetu wengi ambao pia ni vilaza.
so nasisitiza asifukuzwe kazi ila abadilishiwe majukumu kwa sababu majukumu aliyo nayo ni makubwa na club sasa imekuwa ya kisasa inahitaji mtu msomi na mwelewa.mtu mwenye ufaham wa kutosha na si wa mipasho na maneno ya hovyo hovyo. huu ni ushauri wangu kwa klabu ya simba. nakaribisha mapovu maana najua naye akiambia kuhusu hii thread atakuja kumwaga mapovu yake hapa akidhani nataka mchafulia kitumbua chake kwa mchanga.si lengo langu hata kidogo.
tukutane tarehe 8/8 simba day