Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,482
- 27,182
Kwa akili hizi lazima umkubali....maana mnawaza mle mle.... Ndege wa rangi moja huruka pamoja.
Katika Hao Mapimbi wewe Ni Namba moja ingawa unatamani uitwe msomi.
Wewe unataka Watu Wajibu Hoja Kisomi! Je Hapa ndiyo umeniquote Kisomi??
Amakweli "Empty vessel makes more noise "...
Mdogo Wangu Usipate tabu! Wivu wenu utawauwa Bure Haji Hamutamuondoa Kwa Kelele za Mitandaoni...
Kila Ninapoona Nyinyi Mashabiki Wa Yanga munaojifanya Simba Fake Munamchukia Haji Manara! Basi Nazidi Kuthibitisha Kuwa Manara Anafanikiwa Katika Kazi Yake Kwani Siku zote ukiona Mpinzani Wako Anakuchukia basi Juwa upo sawa.
Kwasasa Yanga Mtu wanaemchukia Zaidi Ni Haji Manara! Na Ndiyomana Munatumia Kila Mbinu Kujifanya Nyinyi Ni Simba Eti Haji Afukuzwe!!
Mukiulizwa Sababu gani Afukuzwe? Eti munajibu Hajui Mpira!!! Alaa! Kwani Mumesikia Haji Manara Ni Kocha??? Au mumesikia Anashiriki Kwenye Benchi la Ufundi Timu? Au Mumesikia Yeye Ndiye Anayesajili Wachezaji? Sasa Mambo Ya Kujua Mpira au Kutokujua Yanahusikaje Na Idara ya Habari Ya Simba??
Hebu Nipe Sifa Za Kuajiriwa Ukuu Wa Idara Ya Habari ya Simba CV Yake inatakaje? Na Je elimu gani inahitajika Kuweza Kuwa Kwenye Idara Ya Habari Ya Simba? Je Elimu aliyonayo Haji Manara hawezi Kuwa Kwenye Idara ya Habari Ya Simba?
Acheni Wivu Wa Kike Huo Munapoona Mwanamme Mwenzenu anapiga Kazi.