Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rudia kusoma uzi tena halafu rudi katika andiko langu.Kwa hiyo kwenye zile press zake we umeona akiongelea magodoro, au alivyotangazwa alitambulishwa kama mkuza brand wa GSM?
Mbona hamtaki kukubali kama yule mfanyakazi wa yanga?
Kweli kabisa yanga wote hawana akili isipokuwa kikwete na Sunday manara,
Kwani we si umesema huyo kaletwa na GSM aje abrand biashara zake hususan jezi si ndio,,, sasa kubrand jezi na kuizungumzia simba wapi na wapi?Rudia kusoma uzi tena halafu rudi katika andiko langu.
Ukimaliza jaribu kuoanisha.
Wengi wenu mnamu attack personally.Kwani we si umesema huyo kaletwa na GSM aje abrand zake hususan jezi si ndio,,, sasa kubrand jezi na kuizungumzia simba wapi na wapi?
Usitoke nje ya mada,, usilete habari za sijui yule kaletwa na GSM abrand biashara ya jezi, yule ni mfanyakazi wa yanga period,,,, mbona hazungumzii magodoro kwenye hizo press zake.Wengi wenu mnamu attack personally.
Mlianza na campaign ya kumu unfollow account zake za social media,mwishowe mka fail.
"Yale maneno yangu yote mabaya dhidi ya Yanga SC niliyokuwa nikiyasema nikiwa Simba SC nilikuwa nasherehesha tu na nashangaa Watu wengi waliyaamini na hata hapa Yanga SC nitasema mabaya ya Simba SC na wana Yanga SC watakaoniamini shauri zao", Haji Manara.
Chanzo: EFM Sports Headquarters leo
Sijashangaa sana kuona karibia 75% ya Viongozi Waandamizi kabisa wa Yanga SC wakiongozwa na Rafiki yangu wa karibu Mwenyekiti wao Dkt. Mshindo Msolla na wana Yanga SC wenye Akili Kubwa wamekasirishwa na Kitendo cha GSM kumnunua Haji Manara kuja kufanya Kazi Yanga SC.
Nauona mwisho mbaya sana wa Haji Manara na GSM ndani ya Klabu ya Yanga SC.
Muda si mrefu nakuja na Exclusive Story ya alichokisema Mhamasishaji wa Yanga SC Antonio Nugaz kwa Mmoja wa Waandamizi wa Yanga SC kuhusiana na ujio wa Haji Manara.
Kwani japo nje akina Nugaz na Bumbuli wanaonekana na Furaha ukweli ni kwamba Mioyoni mwao hali ni tofauti na Kimeshanuka huko.
"Yale maneno yangu yote mabaya dhidi ya Yanga SC niliyokuwa nikiyasema nikiwa Simba SC nilikuwa nasherehesha tu na nashangaa Watu wengi waliyaamini na hata hapa Yanga SC nitasema mabaya ya Simba SC na wana Yanga SC watakaoniamini shauri zao", Haji Manara.
Chanzo: EFM Sports Headquarters leo
Sijashangaa sana kuona karibia 75% ya Viongozi Waandamizi kabisa wa Yanga SC wakiongozwa na Rafiki yangu wa karibu Mwenyekiti wao Dkt. Mshindo Msolla na wana Yanga SC wenye Akili Kubwa wamekasirishwa na Kitendo cha GSM kumnunua Haji Manara kuja kufanya Kazi Yanga SC.
Nauona mwisho mbaya sana wa Haji Manara na GSM ndani ya Klabu ya Yanga SC.
Muda si mrefu nakuja na Exclusive Story ya alichokisema Mhamasishaji wa Yanga SC Antonio Nugaz kwa Mmoja wa Waandamizi wa Yanga SC kuhusiana na ujio wa Haji Manara.
Kwani japo nje akina Nugaz na Bumbuli wanaonekana na Furaha ukweli ni kwamba Mioyoni mwao hali ni tofauti na Kimeshanuka huko.
Kwahiyo naye sasa anaangukia humoView attachment 1911301
[emoji115][emoji115][emoji115]
Jamaa anapretend tu ,unajua ile feelings ukianchwa na Ex wako na bado unampenda halafu kwa wengine unajifanya mwamba kuonyesha you don't care
jamaaa ana unafki ambao sijawai kuushudia before
NimechekaUkweli ni kwamba hata yeye mwenyewe bado haamini Kama Yuko yanga
Anaamini yupo Simba!Ukweli ni kwamba hata yeye mwenyewe bado haamini Kama Yuko yanga
Ni kweli mkuu haji Ni msemaji wa Dar young africans,na hata personal benefits young africans ndo wanahusika.Usitoke nje ya mada,, usilete habari za sijui yule kaletwa na GSM abrand biashara ya jezi, yule ni mfanyakazi wa yanga period,,,, mbona hazungumzii magodoro kwenye hizo press zake.
Yanga wote hawana akili isipokuwa kikwete na Sunday manara tu,,,, yani matusi yote yale aliowatukana, ina maana wananchi Tanzania nzima mmekosa mtu kabisa mpaka yule jamaa, akina kitenge roho inawauma kweli, mana walishatukanwa kisa yanga na kugombana na watu sababu ya huyo jamaa
Kuna watu walikuwa wanadai wewe ndiyo Haji Manara.Unajua Bugatti la Uto ameumia sana kukimbizwa Simba SC
Ndo maana anatumia njia kama hizo kutibu majeraha.
Mimi siumii roho isipokuwa mashabiki wengine hawataki kukubali kuwa haji manara ni msemaji wa yanga na kudai kuwa eti haji yupo pale kwa ajili ya kubrand bidhaa za GSMNi kweli mkuu haji Ni msemaji wa Dar young africans,na hata personal benefits young africans ndo wanahusika.
Pia ka promise atafanya kazi yanga 10 times ya alipotoka.
Na mashabiki wengi wa yanga wamempokea haji kwa mikono miwili regardless aliwachafua pindi alipokua simba.
Sasa hapa ninachojiuliza ni kua kwanini wewe Nyonzo bin mvule uumie roho?
Na hana kazi nyingine, mengine ni kupumbaza hiyo Misukule tu.Mimi siumii roho isipokuwa mashabiki wengine hawataki kukubali kuwa haji manara ni msemaji wa yanga na kudai kuwa eti haji yupo pale kwa ajili ya kubrand bidhaa za GSM