kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,634
- 7,015
Kazi yake imeanza kuonekana huko utopoloni ndugu yetu Agent XManara hafai hata kwa Donna,huyu jamaa ni bonge la msaliti,anakugeuka mapema sana.Yanga jiangalieni sana.
Wewe ndugu😄Ndiyo nani huyo hapa JamiiForums Ndugu?
Askari wa kukodi😄
Hapo sijaelewa. Kwani Haji Manara yupo wapi, alisha RIP na pale Jangwani upo msukule pekee??
Kama alivyosema aliisha RIP ule upo pale ni mzimu wake!Hapo sijaelewa. Kwani Haji Manara yupo wapi, alisha RIP na pale Jangwani upo msukule pekee??