Haji Manara : Mitano Tena Kwa Rais Samia Haitoshi.Tumpime Kwa Mazuri Aliyofanya.

Haji Manara : Mitano Tena Kwa Rais Samia Haitoshi.Tumpime Kwa Mazuri Aliyofanya.

Ehh aise

Wabongo bana

Ova
Manara na ushenzi na misala yake yote bado ana survive na ku thrive. Manara hayupo moral correct ila anajua kuplay the game ya mjini.

Hiyo video na alichokiongea ni advanced intellectual level ya uchawa ambapo machawa wengi hawana. Manara ni storyteller mzuri na ana content thats why mpaka sasa amefanikiwa kwenye propaganda hasa kwenye soka la bongo. Kwenye Soka kuna wasemaji wengi wa timu ila manara ni hodari kwenye kudeliver kile kitu watu au mtu anataka kuskia.

Ova
 
Nakubalina kabisa na bwana Manara ex Msemaji wa Makolo kwamba Kwa kazi nzuri na ya kukukuka aliyofanya Rais Samia Kwa miaka hii 4,ni wazi kabisa Mitano Haitoshi labda 10 mingine.

Huhitaji kutafutiza kazi yake inaonekana Kila Kata,Kila Wilaya,Kila Mkoa na Kila sekta ya Nchi hii Kwa Ukubwa zaidi ya watangulizi wake.

View: https://www.instagram.com/reel/DE4_Nb-qTY5/?igsh=MXJoNzl6ZzZyYTl6dg==

My Take
Rais kama Samia Huwa hapatikani Kila wakati kau Kila Nchi.

Kazi Iendelee

Angalieni msimuue huyu, yule mwingine mlianza kusema hivihivi akajifia mbali huko kabisa.
 
Nakubalina kabisa na bwana Manara ex Msemaji wa Makolo kwamba Kwa kazi nzuri na ya kukukuka aliyofanya Rais Samia Kwa miaka hii 4,ni wazi kabisa Mitano Haitoshi labda 10 mingine.

Huhitaji kutafutiza kazi yake inaonekana Kila Kata,Kila Wilaya,Kila Mkoa na Kila sekta ya Nchi hii Kwa Ukubwa zaidi ya watangulizi wake.

View: https://www.instagram.com/reel/DE4_Nb-qTY5/?igsh=MXJoNzl6ZzZyYTl6dg==

My Take
Rais kama Samia Huwa hapatikani Kila wakati kau Kila Nchi.

Kazi Iendelee

Anautaka u diwani wa kariakoo tena nini??
 
Nakubalina kabisa na bwana Manara ex Msemaji wa Makolo kwamba Kwa kazi nzuri na ya kukukuka aliyofanya Rais Samia Kwa miaka hii 4,ni wazi kabisa Mitano Haitoshi labda 10 mingine.

Huhitaji kutafutiza kazi yake inaonekana Kila Kata,Kila Wilaya,Kila Mkoa na Kila sekta ya Nchi hii Kwa Ukubwa zaidi ya watangulizi wake.

View: https://www.instagram.com/reel/DE4_Nb-qTY5/?igsh=MXJoNzl6ZzZyYTl6dg==

My Take
Rais kama Samia Huwa hapatikani Kila wakati kau Kila Nchi.

Kazi Iendelee
 

Attachments

  • 20250107_214111.jpg
    20250107_214111.jpg
    139 KB · Views: 2
  • Screenshot_20250112-141523_1.jpg
    Screenshot_20250112-141523_1.jpg
    202.2 KB · Views: 2
  • _123614664_boda2.jpg.jpg
    _123614664_boda2.jpg.jpg
    997.8 KB · Views: 2
Back
Top Bottom