Haji Manara: Mo alitaka niwe balozi wa bidhaa zake badala ya Azam. Asema Mo anadai hapati faida ilhali jezi za Simba zimejaa matangazo yake

Kwani mahakamani kushinda keshi ni kutokana na maneno mengi au facts?!!msimjadili mtu jadili hoja mkuu, je aliyoongea yana ukweli au?!!tatizo la watz wengi sio kwenye michezo/siasa huwa tunakimbilia kumjadili mtu badala ya kile alichokiongea!!
Wanakuangalia na jinsi unavyozungumza na kujitetea. Huyu kajaliwa mdomo kwahiyo haaminiki. Mwanaume hapaswi kuzungumza kama huyu Mswahili wa Kariakoo akili yake ipo mdomoni
 
FCC ilikua kikwazo kwa mo,akaleta figisu pale yule mkuu wa awali akaondolewa akaletwa mwingine ndio huyo anayemtumia sasa hivi
 
Kwani mahakamani kushinda keshi ni kutokana na maneno mengi au facts?!!msimjadili mtu jadili hoja mkuu, je aliyoongea yana ukweli au?!!tatizo la watz wengi sio kwenye michezo/siasa huwa tunakimbilia kumjadili mtu badala ya kile alichokiongea!!
Waambie hao maboya,kaz kujadil mtu,hawajadili hoja zake..kwenye kila ktu yan,sisi wabongo mazezeta sana na alyeturoga nampa saluti
 
Wanakuangalia na jinsi unavyozungumza na kujitetea. Huyu kajaliwa mdomo kwahiyo haaminiki. Mwanaume hapaswi kuzungumza kama huyu Mswahili wa Kariakoo akili yake ipo mdomoni
Sasa hivi ndio aaminiki ila wakati anakuambieni wachezaji wa Yanga wanashindia matikiti alikua anaeleweka sio!
 
Mo ni tapeli. CAG akakague hesabu za simba. Yaliyomkuta manara ni mambo ya wahindi. Wahindi wanapenda kudhurumu ngozi nyeusi.
 
Mo ni tapeli. CAG akakague hesabu za simba. Yaliyomkuta manara ni mambo ya wahindi. Wahindi wanapenda kudhurumu ngozi nyeusi.

Manara sio ngozi nyeusi wewe.
Manara ametakatisha pesa kwa miaka 5 kupokea pesa bila mkataba ni wizi.
 
Tuliza wenge jamaa
 
Taja mawili mazuri aliyosema Simba wamemtendea. Mawili tu.
 
Yaani tisheti yetu imechafuka matangazo kama timu za Sudan!
 
Kumbe kwa Mkataba wa Simba na Azam ulishasainiwa kwa kiwango cha 350ml kwa Mwaka? Kweli nawapa hongera timu yangu Yanga ikiingozwa na Dr Msolla kwa bargaining power waliyonayo.
Wewe hujaelewa kabisa..Ni kwamba Azam walikubaliana na viongozi wa Yanga na Simba meza moja kupata mgao sawa.. lakini alipopelekewa Mo akalikataa dili hilo
 
Wewe ni kichaa sijui hata umewahi kuajiriwa Ukasoma walau clause ya Conflict of interest.

Muwekezaji au mdhamini yoyote lazima akubane wewe unaedhaminiwa usiingie kwenye conflict of interest.

Leo ukienda kuomba udhanini Pepsi wa ndondo cup yako lazima watakwambia mashindano yako yasidhaminiwe na kinywaji chochote Baridi.


Mo Kama mdhamini Wa Simba lazima awabane anaowadhamini kuwa waajiri wake wasimuharibie biashara ?


Sportpesa anidhamini Simba unataka kusema Manara anaweza kuchukua dili la M-Bet?

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
 
Sasa nasikia huyo Mo ametishia kuachana na simba!!kitu kidogo anasusa na atawasumbua sana kwani ameshawaona mnamuabudu kama Mungu mtu!!sasa manara kusema ukweli ndio atishie kujiudhuru!!kuhusu conflict of interest, inakuwaje, kisheria haji alikuwa ni muajiriwa wa simba au MOET?na mtu ambaye hata mkataba hana unawezaje kumbana hivyo?hata kama ni hivyo mbona alipowaambia kuwa kuna mkataba nimepewa na azam, kabla cjauridhia mnasemaje, miezi sita hakuna jibu, baada ya kuamua kuusaini , ndio wanakuja na offer ya milioni 3!!Mo ni mnyonyaji nenda kwenye viwanda vyake huko, ukaone wafanyakazi wanavyopata tabu kwa malipo duni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…