Haji Manara msimfikishe jikoni Yanga, anaweza kurudi Simba kuunga mkono juhudi

Haji Manara msimfikishe jikoni Yanga, anaweza kurudi Simba kuunga mkono juhudi

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Adui yako namba moja ni mtu wako wa karibu. Haji alivyokuja Yanga ndiyo atakavyoondoka Yanga. Kama mnadhani Yanga mna siri nyeti ambazo ni mwiko kufahamika kwa Simba na public basi ziwekeni mbali nae kwanza.

Vinginevyo lazima mumlee Haji kama yai, msimkorofishe hata siku moja, vinginevyo iko siku atakwenda atarudi kwenda kuunga mkono juhudi za Simba tena.
 
Adui yako namba moja ni mtu wako wa karibu. Haji alivyokuja Yanga ndiyo atakavyoondoka Yanga. Kama mnadhani Yanga mna siri nyeti ambazo ni mwiko kufahamika kwa Simba na public basi ziwekeni mbali nae kwanza. Vinginevyo lazima mumlee Haji kama yai, msimkorofishe hata siku moja, vinginevyo iko siku atakwenda atarudi kwenda kuunga mkono juhudi za Simba tena.
Haji hajachukuliwa na YANGA bali ameajiliriwa na GSM kama chawa wake.Ila kwa kuwa hivi sasa timu ipo mikononi mwa GSM (Wao ndio kila kitu hakohoi Mwenyekiti wala mjumbe yoyote) basi inaonekana kama vile kaajiriwa Yanga...Hamna kitu kama hicho...na Yanga kwa sasa hawawezi kupanua mdomo kukanusha kwa kumuogopa GSM wanasubiri tu wavurugane wakishatolewa kwenye mashindano ya Afrika na kufungwa na SImba siku ya Ngao ya Hisani ndipo utakapo wasikia...Mwezi wa Tisa mbaya saana kwa yanga
 
Haji hajachukuliwa na YANGA bali ameajiliriwa na GSM kama chawa wake.Ila kwa kuwa hivi sasa timu ipo mikononi mwa GSM (Wao ndio kila kitu hakohoi Mwenyekiti wala mjumbe yoyote) basi inaonekana kama vile kaajiriwa Yanga...Hamna kitu kama hicho...na Yanga kwa sasa hawawezi kupanua mdomo kukanusha kwa kumuogopa GSM wanasubiri tu wavurugane wakishatolewa kwenye mashindano ya Afrika na kufungwa na SImba siku ya Ngao ya Hisani ndipo utakapo wasikia...Mwezi wa Tisa mbaya saana kwa yanga
Huu sio wakati wa kuwaleta watu, hata GSM anawahitaji shabiki wa Simba kwenye baadhi ya Biashara zake.
 
Naanza kuamini yale maneno ya haji manara ya kuwa yanga wote hawana akili kasoro baba yake na kikwete tu,,,,, leo kweli huyu wa kukaa high table ya yanga afu kina bumbuli wawe wapishi 🤔
Yani haji huyu akamate kipaza siku ya mwananchi akina maulid kitenge wabebe maspika🤔
Yanga wote hawana akili, mwenye akili Sunday manara na kikwete..... haji manara
 
.
FB_IMG_1629996568355.jpg
 
Naanza kuamini yale maneno ya haji manara ya kuwa yanga wote hawana akili kasoro baba yake na kikwete tu,,,,, leo kweli huyu wa kukaa high table ya yanga afu kina bumbuli wawe wapishi 🤔
Yani haji huyu akamate kipaza siku ya mwananchi akina maulid kitenge wabebe maspika🤔
Yanga wote hawana akili, mwenye akili Sunday manara na kikwete..... haji manara
Haji ni hodari, hiyo haina ubishi, hata Simba wanalifahamu hili, wamevurugwa.
 
GSM lazima ihakikishe kuwa watanzania wote wananunua bidhaa zake (nguo, magodoro, nk) bila kuathiliwa na utani wa jadi wa mpira. Kutukana na kukejeli baadhi ya wateja inaweza kuleta hasara zaidi kuliko faida. Wakati wa Haji akiwa simba mimi binafsi nilikuwa sinunui kitu chochote chenye uhusiano na simba na mo kutokana na utani na kejeli za manara. Hivyo basi, kama malengo ni vikombe sawa lakini kama malengo ni biashara hakikisheni kuwa msemaji anakuwa more professional akiizingira biashara ya mwekezaji. Kwani huko Man U, Man City, Chelsea, Madrid na kwingineko wasemaji wao wanafanyaje?
 
Haji hajachukuliwa na YANGA bali ameajiliriwa na GSM kama chawa wake.Ila kwa kuwa hivi sasa timu ipo mikononi mwa GSM (Wao ndio kila kitu hakohoi Mwenyekiti wala mjumbe yoyote) basi inaonekana kama vile kaajiriwa Yanga...Hamna kitu kama hicho...na Yanga kwa sasa hawawezi kupanua mdomo kukanusha kwa kumuogopa GSM wanasubiri tu wavurugane wakishatolewa kwenye mashindano ya Afrika na kufungwa na SImba siku ya Ngao ya Hisani ndipo utakapo wasikia...Mwezi wa Tisa mbaya saana kwa yanga
This is childish!
Is it not?
GSM hawana hisa hata moja. Timu itakuwaje mikononi mwao?
Huu ni muda muafaka wa Simba kujiondoa kwenye makucha ya Mohamed Dewji!
Mo arudishe hisa alizochukua, na aongeze hela kwa sababu Simba ni kubwa kuliko Mohamed Enterprises!
Mo kuimiliki Simba wakati Klabu inamtangazia biashara zake ni kuwageuza Wanasimba wapumbavu na Watanzania wote mazuzu.
Simba, kama Yanga, ni Vilabu vya Wananchi.
 
This is childish!
Is it not?
GSM hawana hisa hata moja. Timu itakuwaje mikononi mwao?
Huu ni muda muafaka wa Simba kujiondoa kwenye makucha ya Mohamed Dewji!
Mo arudishe hisa alizochukua, na aongeze hela kwa sababu Simba ni kubwa kuliko Mohamed Enterprises!
Mo kuimiliki Simba wakati Klabu inamtangazia biashara zake ni kuwageuza Wanasimba wapumbavu na Watanzania wote mazuzu.
Simba, kama Yanga, ni Vilabu vya Wananchi.
we nawe dishi limeyumba
 
we nawe dishi limeyumba
Huyu sio tu Dishi limeyumba bali ni kiumbe kimetoka sayari ya giza .....Eti MO arudishe HISA za SIMBA ukitizima YANGA inawauma sn sn SIMBA level iliyo fikia.

Level ya SIMBA kwa sasa ni kubwa sn nimefanya uchunguzi kidogo tu kwenye INSTAGRAM unajua siku tatu za nyuma kabla ya MANARA kujiunga YANGA kwa maana siku 4 za nyuma...SIMBA ilikuwa ina Followers MILLION 2.7 LEO HII ina Followers MILLION 2.8 kwa kipindi kichache tu kwa maana SIMBA INAFATILIWA sn .

YANGA WANA FOLLOWERS MILLION 1.4 IMEGANDA HAPO KWA MUDA MREFU SN.
 
This is childish!
Is it not?
GSM hawana hisa hata moja. Timu itakuwaje mikononi mwao?
Huu ni muda muafaka wa Simba kujiondoa kwenye makucha ya Mohamed Dewji!
Mo arudishe hisa alizochukua, na aongeze hela kwa sababu Simba ni kubwa kuliko Mohamed Enterprises!
Mo kuimiliki Simba wakati Klabu inamtangazia biashara zake ni kuwageuza Wanasimba wapumbavu na Watanzania wote mazuzu.
Simba, kama Yanga, ni Vilabu vya Wananchi.
Hivi kuna mahali nimezungumzia Smaba au MO kwenye andiko langi? hivi unaelewa maana ya neno Childish au umeona sehemu ukaamua kulitumia tu...ahaa
 
mngempeleka kwa wanasaikolojia kwanza kabla ya kumpa kazi. Naona nati kubwa zimelegea
 
GSM lazima ihakikishe kuwa watanzania wote wananunua bidhaa zake (nguo, magodoro, nk) bila kuathiliwa na utani wa jadi wa mpira. Kutukana na kukejeli baadhi ya wateja inaweza kuleta hasara zaidi kuliko faida. Wakati wa Haji akiwa simba mimi binafsi nilikuwa sinunui kitu chochote chenye uhusiano na simba na mo kutokana na utani na kejeli za manara. Hivyo basi, kama malengo ni vikombe sawa lakini kama malengo ni biashara hakikisheni kuwa msemaji anakuwa more professional akiizingira biashara ya mwekezaji. Kwani huko Man U, Man City, Chelsea, Madrid na kwingineko wasemaji wao wanafanyaje?
Point noted

Gsm kama wanataka bidhaa zao zinunuliwe na makundi yote basi wamwambie lopolopo hasitukane makundi mengne
 
GSM lazima ihakikishe kuwa watanzania wote wananunua bidhaa zake (nguo, magodoro, nk) bila kuathiliwa na utani wa jadi wa mpira. Kutukana na kukejeli baadhi ya wateja inaweza kuleta hasara zaidi kuliko faida. Wakati wa Haji akiwa simba mimi binafsi nilikuwa sinunui kitu chochote chenye uhusiano na simba na mo kutokana na utani na kejeli za manara. Hivyo basi, kama malengo ni vikombe sawa lakini kama malengo ni biashara hakikisheni kuwa msemaji anakuwa more professional akiizingira biashara ya mwekezaji. Kwani huko Man U, Man City, Chelsea, Madrid na kwingineko wasemaji wao wanafanyaje?
lakini najiuliza inakuwaje mtu tajiri kama GSM anashindwa kufikiria basics kama hizi tu
 
Back
Top Bottom