LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 18,037
- 33,681
Haji Manara yupo Ulaya now. Anatembelea nchi tofauti tofauti zilizo barani Ulaya. Nchi za Ulaya zinaripotiwa kuwa na idadi kubwa ya maambukizi ya Corona. Na ugonjwa wa Corona unaripotiwa kuwathiri zaidi wazungu kuliko watu weusi.
Honestly: Haji Manara ni kama.mzungu Tu so na yeye anaweza kuwa vulnerable to Corona.
So please mlio karibu na Haji Manara mshaurini ndugu yenu awe makini Sana Huko alipo na ikiwezekana arudi Bongo haraka iwezekanavyo
Honestly: Haji Manara ni kama.mzungu Tu so na yeye anaweza kuwa vulnerable to Corona.
So please mlio karibu na Haji Manara mshaurini ndugu yenu awe makini Sana Huko alipo na ikiwezekana arudi Bongo haraka iwezekanavyo