Haji Manara na hatari ya njaa kuendesha Tumbo Kwa vijana wengi

Haji Manara na hatari ya njaa kuendesha Tumbo Kwa vijana wengi

The Boss

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2009
Posts
49,282
Reaction score
117,244
Haji Manara alipokuwa Simba alikuwa bega Kwa bega na Mo, hata walipotokea wazalendo wengine kujaribu kumuuliza Mo kuhusu bilioni 20 yeye alikuwa mbele sana kuwapinga na kuungana na wengine kuwaita wote wanaompinga Mo 'njaa "..na maadui wa Simba.

Hadi yeye Manara alipogombana na Mo na kuhamia Yanga, ajabu akaanza kuwacheka Simba Kwa "magumashi " ya Mo, anawatania na kuwacheka Simba kuwa Mo ni magumashi sio mwekezaji wa Kweli n.k. Kipindi kile kina Mzee Kilomoni wanasema haya walikuwa wanaitwa njaa na waleta vurugu...wasio na shukran kuona timu imepata mafanikio baada ya Mo kuja.

Sasa huko Yanga kaibuka Mzee Magoma na wenzie, hoja Yao iko so simple kabisa, hawasemi GSM afukuzwe, wao wanasema kisheria wanachama ndo wamiliki wa timu. Mwekezaji atakuja kuwekeza asilimia 49 tu, sasa muwakilishi wa mwekezaji. Kwanini tena awe ndo Rais wa timu? Yaani ni sawa na Babra wa Mo awe Rais wa Simba ..how?

Badala hata ya kujibu hoja za wazee hawa Haji Manara na wengine wote wanakimbilia kumkejeli na kumuita huyu Mzee ana njaa n.k...na kwanini alete "vurugu" asiwe na shukran ya kuona mafanikio ya GSm na kijana wake Hersi? same thing walichosema wakati wazee Simba wanajaribu kumhoji Mo, ambae hadi sasa analeta usanii hapo Simba.

Hapa tunaona kuwa wenzetu wengine wakiwa busy kunufaika na ukaribu na matajiri, huwa hawataki kabisa hao matajiri waulizwe lolote, uchawa wanaweka mbele kabisa na kuongoza kukejeli wengine wote wanao uliza, mradi wao wananufaika na hii sio tu Kwa Haji Manara ila ipo Kwa vijana wengi sana. Uchawa huwa mbele kuliko mafanikio ya jamii yote.

Ile inayoitwa generation Z Tanzania imejaa machawa na madalali wasiotaka kusikia lolote mradi walipwe na wanaomtetea.

Pia soma=>Mahakama yaamuru Eng. Hersi aachie ngazi Yanga!
 
Haji Manara alipokuwa Simba alikuwa bega Kwa bega na Mo, hata walipotokea wazalendo wengine kujaribu kumuuliza Mo kuhusu bilioni 20 yeye alikuwa mbele sana kuwapinga na kuungana na wengine kuwaita wote wanaompinga Mo 'njaa "..na maadui wa Simba.

Hadi yeye Manara alipogombana na Mo na kuhamia Yanga, ajabu akaanza kuwacheka Simba Kwa "magumashi " ya Mo, anawatania na kuwacheka Simba kuwa Mo ni magumashi sio mwekezaji wa Kweli n.k. Kipindi kile kina Mzee Kilomoni wanasema haya walikuwa wanaitwa njaa na waleta vurugu...wasio na shukran kuona timu imepata mafanikio baada ya Mo kuja.

Sasa huko Yanga kaibuka Mzee Magoma na wenzie, hoja Yao iko so simple kabisa, hawasemi GSM afukuzwe, wao wanasema kisheria wanachama ndo wamiliki wa timu. Mwekezaji atakuja kuwekeza asilimia 49 tu, sasa muwakilishi wa mwekezaji. Kwanini tena awe ndo Rais wa timu? Yaani ni sawa na Babra wa Mo awe Rais wa Simba ..how?

Badala hata ya kujibu hoja za wazee hawa Haji Manara na wengine wote wanakimbilia kumkejeli na kumuita huyu Mzee ana njaa n.k...na kwanini alete "vurugu" asiwe na shukran ya kuona mafanikio ya GSm na kijana wake Hersi? same thing walichosema wakati wazee Simba wanajaribu kumhoji Mo, ambae hadi sasa analeta usanii hapo Simba.

Hapa tunaona kuwa wenzetu wengine wakiwa busy kunufaika na ukaribu na matajiri, huwa hawataki kabisa hao matajiri waulizwe lolote, uchawa wanaweka mbele kabisa na kuongoza kukejeli wengine wote wanao uliza, mradi wao wananufaika na hii sio tu Kwa Haji Manara ila ipo Kwa vijana wengi sana. Uchawa huwa mbele kuliko mafanikio ya jamii yote.

Ile inayoitwa generation Z Tanzania imejaa machawa na madalali wasiotaka kusikia lolote mradi walipwe na wanaomtetea.

Pia soma=>Mahakama yaamuru Eng. Hersi aachie ngazi Yanga!
a1395004-5545-4ee8-80b6-51ba5ab5a562.jpeg
 
Hoja yake ni kwamba katiba ni batili,so automatically uongozi uliopo si halali kwa kuwa umewekwa na katiba hiyo,haya mengine itakua anaibua mapya kadiri siku ziendavyo, lakini wakati huohuo anajichanganya kwa kuitambua uongozi uliopo sasa
 
Shida ni kwamba watz wengi wetu hatujui lolote ili mradi siku zinaenda. watu wengi sahv wanampinga huyu mzee sababu Yanga inasajiri wachezaji na inashinda sio sababu mzee hana hoja.
 
Hoja yake anataka akabidhiwe timu aiendeshe ,mbona kipindi cha yanga kutembeza bakuli hakusema akabidhiwe? Ndiyo njaa tunayozungumza.
Hoja yake ni katiba.....ngoja kesho niende Rita nikaulizie ni katiba ya mwaka gani ipo kwenye makabrasha Yao.
 
Mbona wakati Yanga inatembeza bakuli hatukumuona anasema apewe yeye timu? Tunachotaka mashabiki ni furaha tu kwenye hizi club
 
Haji Manara alipokuwa Simba alikuwa bega Kwa bega na Mo, hata walipotokea wazalendo wengine kujaribu kumuuliza Mo kuhusu bilioni 20 yeye alikuwa mbele sana kuwapinga na kuungana na wengine kuwaita wote wanaompinga Mo 'njaa "..na maadui wa Simba.

Hadi yeye Manara alipogombana na Mo na kuhamia Yanga, ajabu akaanza kuwacheka Simba Kwa "magumashi " ya Mo, anawatania na kuwacheka Simba kuwa Mo ni magumashi sio mwekezaji wa Kweli n.k. Kipindi kile kina Mzee Kilomoni wanasema haya walikuwa wanaitwa njaa na waleta vurugu...wasio na shukran kuona timu imepata mafanikio baada ya Mo kuja.

Sasa huko Yanga kaibuka Mzee Magoma na wenzie, hoja Yao iko so simple kabisa, hawasemi GSM afukuzwe, wao wanasema kisheria wanachama ndo wamiliki wa timu. Mwekezaji atakuja kuwekeza asilimia 49 tu, sasa muwakilishi wa mwekezaji. Kwanini tena awe ndo Rais wa timu? Yaani ni sawa na Babra wa Mo awe Rais wa Simba ..how?

Badala hata ya kujibu hoja za wazee hawa Haji Manara na wengine wote wanakimbilia kumkejeli na kumuita huyu Mzee ana njaa n.k...na kwanini alete "vurugu" asiwe na shukran ya kuona mafanikio ya GSm na kijana wake Hersi? same thing walichosema wakati wazee Simba wanajaribu kumhoji Mo, ambae hadi sasa analeta usanii hapo Simba.

Hapa tunaona kuwa wenzetu wengine wakiwa busy kunufaika na ukaribu na matajiri, huwa hawataki kabisa hao matajiri waulizwe lolote, uchawa wanaweka mbele kabisa na kuongoza kukejeli wengine wote wanao uliza, mradi wao wananufaika na hii sio tu Kwa Haji Manara ila ipo Kwa vijana wengi sana. Uchawa huwa mbele kuliko mafanikio ya jamii yote.

Ile inayoitwa generation Z Tanzania imejaa machawa na madalali wasiotaka kusikia lolote mradi walipwe na wanaomtetea.

Pia soma=>Mahakama yaamuru Eng. Hersi aachie ngazi Yanga!
kafanye kazi upate pesa
 
Back
Top Bottom