Haji Manara na huyo kigogo Yanga wajitathmini

Haji Manara na huyo kigogo Yanga wajitathmini

canfi

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2022
Posts
1,368
Reaction score
1,477
Kwenye official page yake kule Instagram, Haji amepost nukuu ya meseji anayodai kuwa ni ya 'mchambuzi mmoja' anaeomba msaada wa kodi ya nyumba kwa kiongozi wa Yanga.

Sote tunafaham kuwa binadam yoyote anaweza kupatwa na shida na hivyo kumlazimu kuomba msaada kwa ndugu/jamaa. Sasa inashangaza sana kuona watu hawa wamekosa staha na kuamua kuweka public meseji za wenzao wenye kuhitaji msaada kwa vigezo cha 'eti wachambuzi wamekuwa wanaisema vibaya Yanga'.

Nashauri wajitathmini kabla hawajadharaulika mbele ya jamii
20230410_154744.jpg
 
Kwenye official page yake kule Instagram, Haji amepost nukuu ya meseji anayodai kuwa ni ya 'mchambuzi mmoja' anaeomba msaada wa kodi ya nyumba kwa kiongozi wa Yanga.

Sote tunafaham kuwa binadam yoyote anaweza kupatwa na shida na hivyo kumlazimu kuomba msaada kwa ndugu/jamaa. Sasa inashangaza sana kuona watu hawa wamekosa staha na kuamua kuweka public meseji za wenzao wenye kuhitaji msaada kwa vigezo cha 'eti wachambuzi wamekuwa wanaisema vibaya Yanga'.

Nashauri wajitathmini kabla hawajadharaulika mbele ya jamiiView attachment 2583330
Haji yuko sahihi na nasisitiza aendeleze alipoishia. Huwezi kuomba msaada Kwa Mtu unayemchafua Kila siku na kumchonganisha na Watumishi wake (Wachezaji). Huyu anayeona Mil.4 anazopewa Feisal ni ndogo ndo anaomba msaada wa Kodi ya nyumba?
 
Haji yuko sahihi na nasisitiza aendeleze alipoishia. Huwezi kuomba msaada Kwa Mtu unayemchafua Kila siku na kumchonganisha na Watumishi wake (Wachezaji). Huyu anayeona Mil.4 anazopewa Feisal ni ndogo ndo anaomba msaada wa Kodi ya nyumba?
Kosa moja linahalalisha kosa jingine?
 
Lihalishe lisihalishe mi hainishitui. Ilimradi udhalilishaji wanofanyia wengine Leo umewarudi wao, Safi kabisa. Wanajiona miungu watu Kwa vile Wana platform ya kusemea wenzao?
Ubaya unalipwa kwa ubaya?
 
Kwenye official page yake kule Instagram, Haji amepost nukuu ya meseji anayodai kuwa ni ya 'mchambuzi mmoja' anaeomba msaada wa kodi ya nyumba kwa kiongozi wa Yanga.

Sote tunafaham kuwa binadam yoyote anaweza kupatwa na shida na hivyo kumlazimu kuomba msaada kwa ndugu/jamaa. Sasa inashangaza sana kuona watu hawa wamekosa staha na kuamua kuweka public meseji za wenzao wenye kuhitaji msaada kwa vigezo cha 'eti wachambuzi wamekuwa wanaisema vibaya Yanga'.

Nashauri wajitathmini kabla hawajadharaulika mbele ya jamiiView attachment 2583330
asa unatembeza bakuli alafu wewe huyo huyo ukipewa kipaza unaongea shit...KAMA HUJUI MAANA YA KUWA CHAWA PAMBANA KUTAFUTA PESA WACHA KUOMBOMBA
 
Haji yuko sahihi na nasisitiza aendeleze alipoishia. Huwezi kuomba msaada Kwa Mtu unayemchafua Kila siku na kumchonganisha na Watumishi wake (Wachezaji). Huyu anayeona Mil.4 anazopewa Feisal ni ndogo ndo anaomba msaada wa Kodi ya nyumba?
Watu wazima na umbea Tena wanaumme.

Wanaumme km mabinti.
 
asa unatembeza bakuli alafu wewe huyo huyo ukipewa kipaza unaongea shit...KAMA HUJUI MAANA YA KUWA CHAWA PAMBANA KUTAFUTA PESA WACHA KUOMBOMBA
Hiyo inatosha kumtangaza?
 
Back
Top Bottom