Haji Manara na mchuchu

Picha za kutengeneza.
Manara kabadili shati na koti mwenzie kavaa nguo ile ile lile sweta.
Mazingira mengine yote ni yale yale kuonesha ilikuwa hapo hapo mfano meza, galsi za kinywaji na keyboard ya computer.
 
Endelea kuamin lakin usipende kushadadia vitu usivyovijua mwaka 2018 nilikua canosa kwenye mahafal ya form six Jerry muro alikua na mtoto wake
Hata mtoto wa kaka yako mwanao. Kwa umri wa Jerry hawezi kuwa na mtoto aliye chuo hivi sasa. Labda kama alimpata akiwa Nursery school
 
Hata mtoto wa kaka yako mwanao. Kwa umri wa Jerry hawezi kuwa na mtoto aliye chuo hivi sasa. Labda kama alimpata akiwa Nursery school
mzee acha ubishi basi,mtoto wa Gadner Habash unamjua?
 
Hata mtoto wa kaka yako mwanao. Kwa umri wa Jerry hawezi kuwa na mtoto aliye chuo hivi sasa. Labda kama alimpata akiwa Nursery school
Hana mtoto Jerry uwiiiiiih upo sahihi usibishane nae huyo lol, Jerry mwenyewe anakatikia mshedede tyuu Nan asiyejua Hilo lol

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hana mtoto Jerry uwiiiiiih upo sahihi usibishane nae huyo lol, Jerry mwenyewe anakatikia mshedede tyuu Nan asiyejua Hilo lol

Sent using Jamii Forums mobile app
Dah jaman nyinyi watu hata kama mapenzi ya vilabu tunatofautiana si vema kuambiana maneno mabaya namna hii.
Kuna mwingine amemuita Manara 'ZZ'. Si vema. Utu kwanza!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…