Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Atafutiwe mtaalam wa Saikolojia huyu ingali mapemaNadhani Haji ana stress
Aliwatukana wenye akili ni wawili na akaja kuwa msemaji wa wasio na akiliHaya ni matusi mengine kwa Uto, ni zaidi ya kuitwa wenye akili wawili tu
Mlimchukua mkasahau anatumia dawa zake.Simba mchukueni mtu wenu! Huku aliko tumemchoka.
Asante Barbra kwa kutufukuzia hiki kichaaHii ni code. Anasema yeye ndiyo ana ufunguo wa ushindi wa Yanga, akitaka ifungwe inafungwa.
Mchecheto ushawashika... ππππSimba mchukueni mtu wenu! Huku aliko tumemchoka.