Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Lakini unaakisi ukweliMtazamo wako
Habari!
Haya ni maoni yangu baada ya kufanya uchambuzi mfupi.
Huyu jamaa Haji Manara huenda nyota ya mafanikio Iko mikononi mwako au kuna siri muhimu juu ya mpira wa miguu Tanzania anazijua ndizo zinazompa nguvu ya ushindi.
Imagine Yanga tuliburizwa na Simba sports miaka kadhaa tukiachwa na mipwenti mingi, kaja Manara tu kibano kimewageuka.
Asanteni.
Nyie si ndiye mlikua mnasema kua mtachua ubingwa wa ligi kuu "back to back" kwa miaka 10?KWA HIYO WEWE ULIDHANI SIMBA TUTACHUKUA UBINGWA MILELE?
Haji anacheza namba ngapi? Wakati tunapigwa na Wanaijeria home and away huyo zeruzeru alikuwa wapi?Kabisa Mwanangu Yanga hata wakiuza wakina Mayele pale wakimuongezea fungu tu Haji back to back za kutosha zipo.
Kwa mtazamo huu kama wako,hawa walemavu wa ngozi wataendelea kuwa na mazingira magumu sana ya kuishiHabari!
Haya ni maoni yangu baada ya kufanya uchambuzi mfupi.
Huyu jamaa Haji Manara huenda nyota ya mafanikio Iko mikononi mwako au kuna siri muhimu juu ya mpira wa miguu Tanzania anazijua ndizo zinazompa nguvu ya ushindi.
Imagine Yanga tuliburizwa na Simba sports miaka kadhaa tukiachwa na mipwenti mingi, kaja Manara tu kibano kimewageuka.
Asanteni.
Nadhani utakuwa miongoni mwa waliokuwa wanafanya Biashara ya viungo vyao mkiamini vinaongeza nyota na mafanikio kwenye Biashara zenuHabari!
Haya ni maoni yangu baada ya kufanya uchambuzi mfupi.
Huyu jamaa Haji Manara huenda nyota ya mafanikio Iko mikononi mwako au kuna siri muhimu juu ya mpira wa miguu Tanzania anazijua ndizo zinazompa nguvu ya ushindi.
Imagine Yanga tuliburizwa na Simba sports miaka kadhaa tukiachwa na mipwenti mingi, kaja Manara tu kibano kimewageuka.
Asanteni.
Kwani mmeugawa au mmenyang'anywa? By the way, hata kama msingeuchukua milele, kwanini uende aliko Haji Manara? Kwanini usiende aliko Masao Bwile? AU aliko Kifaru? etcKWA HIYO WEWE ULIDHANI SIMBA TUTACHUKUA UBINGWA MILELE?