Haji Manara ndio ushindi. Hata akihamia Ruvu Shooting kuna uwezekano kombe likamfuata.




simba alichukua ubingwa 4 yrs mfululizo Mo ana miaka minne toka arudi simba.. Manara ana miaka
6 au saba simba nikuulize wakat ule simba wanasajili wachezaji wa ndondo manara alikuwepo hiyo nyota ya mafanikio mbona hatukuiona.. nyota yamafanikio ni pesa mtoe gsm uone huyo manara atafanya nn.. mpe
heshima yake GSM
 
Haji anacheza namba ngapi? Wakati tunapigwa na Wanaijeria home and away huyo zeruzeru alikuwa wapi?

Msilete upuuzi wwnu.
Wewee tulia mleta mada ndio anajua zaidi
 
Sawasawa ww hujui kama ile rangi ni dili?????
 
Pole yenue.
 
Mimi Yanga lkn sikubaliani na ujinga uliopost hizo ni imani za kishirikiana ingekuwa hakuna kitu kama hiko.
 
Uto bana ni kama hawajiamini kabisa kiasi kwamba wanaamini eti ni nyota ya yule zeruzeru ndiio itawapa ubingwa๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Kwani uliambiwa Simba itachukua ubingwa milele?
 
Hii comment inakidhi vigezo vya GT hapa JF ๐Ÿ™๐Ÿ™
 
Mbona kwenye the return of the champions alishindwa anajua mpira ni slogan mwisho mkachezea nje ndani.
 
Wewe naona unataka kuhamasisha ile BIASHARA ya wakati uleeeee..... Yaani ya VIUNGO vyao!
 
nyota ipi ya mfanikio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ