Haji Manara ni Mswahili anayecheza na akili za Waswahili wenzake

Heri yako mzungu
 
kwa taarifa yako mechi ya simba na yanga inajaza uwanja toka miaka ya 70's huko, hata huyo haji hajazaliwa, haji ana ushawishi kwa simba wenzake, sio soka la tanzania, ukae uelewe
 
Teh teh 🎶 teh 🎶 teh teh 🤣 🤣haya maneno yamenifurahisha sana haaa haaaa...😃😃😃
 
Maelezo marefu nonsense. Mswahili ni nani? Define it. Kweli ww POPOMA
 
Huyu manara ipo siku atawaambia waende uwanjani bila chupi, na hutoamini kukuta 99.9% hawajavaa kweli. Mbaya zaidi mijitu mingine ina elimu zao kubwa tuu lakini wanashikiwa akili na yule mtoto wa kiswahili..
 
Mkuu leo ndio nmeamini maana sikuwahigi kumfatilia Jana kampiga dongo la wazi Harmonize nmejiskia aibu mimi aisee, Sijawahi kuona msemaji Asiyejielewa majukumu yake kama Yule jamaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…