Haji Manara sijakuelewa

Haji Manara sijakuelewa

cha1509

JF-Expert Member
Joined
Jul 6, 2018
Posts
258
Reaction score
402
Muda mfupi uliopita haji alikuwa na press conference, lakin muda wote WAKATI anaongea sijakuelewa kabisa ulichotaka kukiongea, Mara Simba n timu kubwa haiendeshwi kwa mabakuli, Mara Simba ndio timu pekee yenye mashabiki wa ukweli.
Nilitegemea ungekuja ungeanza na tathmni ya mchezo uliopita, Kisha ukatuambia na Nini kifanyike katika mchezo ujao na As Vita, lakin mpka unamaliza hujaleweka!
Next time njoo na key points kwenye press sio kuja kubwabwaja tu bwana mkubwa!
Mimi n mshabiki na mnazi wa Simba kindakindaki, nilitegemea ungetuambia matokeo ya Jana, Kisha utupe mwelekeo mwingine! Matokeo yake umeenda tofauti kabisa!

Sijaridhika hata kidgo na press yako, labda jumatano utakuja umejipanga vizur!

Simba; DO or DIE!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi kazi yake ni nini ? Nadhani kwa anayoyafanya basi anafanya kazi yake ipasavyo, ikiwa pia ni kubadilisha focus kwenye kuongelea Simba kufungwa na kumuongelea yeye au issue tofauti (deflection..)
 
"Mechi inaweza kuhairishwa labda afe kiongozi mkubwa"Manara kibri hiki umetoa wapi???unaweza wewe usifike hiyo Siku..Mungu hadhiakiwi...
 
Kama sio unyanyapaa kwa nini usimwite tu Haji? Vyovyote iwavyo sio busara kumsema mtu unayemfamu kwa wajihi wake kwa nia ya kuutumia ili kumponda, iwe 'bonge ' , 'shoti' au 'tall '

Vv

Sent using Jamii Forums mobile app
Chief binafsi nilijikita kwenye taaluma na mkataba wake, sidhani km Kaz yake n kuizungumzia yanga tu kila kukicha, mambo ya kutembea na mabakuri ni kipindi Cha mpito, na nilichokuwa nakitarajia mm kwenye conference yake n kuizungumzia timu yake na mechi inayokutana nazo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom