Haji Manara sijakuelewa

Tanzania ndio nchi peke msemaji wa timu anaitisha press conference halaf anaongelea mipasho baada ya kutoa taarifa za timu

Ajira zisizo na terms of reference hizo.

Misheni town unapewa kitengo.
 
Haji ukiangalia press yake imejengeka ktk kuhamasisha washabiki, wanachama wa Simba kuja kuiunga mkono timu yao jmosi, so usitarajie Haji aje na analysis za mechi wkt yeye siyo sehemu ya technical bench hivyo usimlaumu sana De LA Boss muda mwingine huwa anakuwa siyo Msemaji wa Simba bali mshabiki mwenye mzuka kupitiliza wa Simba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hajawahi hata siku mója kuongea vitu vinavyoeleweka mbumbumbu pekeè ndo wanamuelewa huyo mwenzao
 
Tatizo ni Yanga kutega masikio CAF CL tena kuifatilia Simba.. ndio maana Yanga hawaelewi sababu hawamo makundi.
 
Huyo ana vurugu za mawazo.....achana nae.
 
Yani wewe ndo ujaeleweka unataka manara atoe tathmini ya mechi iliyopita na inayokuja, sasa Kocha atafanya kazi gani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mambo ya kiufundi hayo anaongea kocha
 
Mkakati alioelezea Haji ni Kufa au Kupona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…