Haji Manara: "Simba ndio wa Kimataifa"

Haji Manara: "Simba ndio wa Kimataifa"

5fa9dcc1c1a1e43f696c2ec3938a28e1.jpg
la nyongeza

La Nyongeza Hamna Ila Nisaidie Tu Kwa Hapo Kuniambia Simba SC Ni Wa Ngapi Na Yanga FC Ni Wa Ngapi Kwani Sioni Vizuri Na Ukishanipa Tu Majibu Yangu Naomba Hata UZI Wenyewe Nao Uishie Tu Hapa Kwani Yawezekana Tukajua Tayari Nani Wa Kimataifa Na Nani Ni Wa Vyurani.
 
La Nyongeza Hamna Ila Nisaidie Tu Kwa Hapo Kuniambia Simba SC Ni Wa Ngapi Na Yanga FC Ni Wa Ngapi Kwani Sioni Vizuri Na Ukishanipa Tu Majibu Yangu Naomba Hata UZI Wenyewe Nao Uishie Tu Hapa Kwani Yawezekana Tukajua Tayari Nani Wa Kimataifa Na Nani Ni Wa Vyurani.
Yanga africa a.k.a vyura au yeboyebo ama wazee wa 5:0 wao ni wa 55 katika takwimu za CAF
SIMBA Mnyama ambao hatuna mbwembwe vyetu vitendo na hii ndio sababu noti kubwa nchini ikapachikwa jina la nyongeza yaani MSIMBAZI na kuwekewa alama nyekundu ili ipendeze zaid tupo nafasi ya 39 huku vyura wakibakiwa na kelele
MJADALA UMEISHIA HAPO
 
Amesahau kusema simba ilikua team inayomilikiwa na wazungu ndio maana wakavaa viatu na kwenda nje hahahhahaa... kutangulia sio kufika jombaa. Ona mmeachwa

Aidha kasahau kuwa Simba ndiyo timu ya kwanza Tanzania kupata ushindi wa 3-0 nyumbani na kwenda kufungwa na Al Ahly Shandy ugenini.

Simba ndiyo timu ya kwanza kung'oa viti uwanja wa Taifa.

Simba ndiyo timu ya kwanza kuweka mpira kwapani dhidi ya mtani wake.

Mengine endeleeni kuyaandika kuhusu Simba.
 
Hiv n simba au yanga ambao hawakuja uwanjan wakidai kuwa wamekubaliana wasitokee wote ilikuwa n timu ipi wakuu msaada hapo
 
Yanga jifunzeni kuongea kwa data.Manara katoa data za simba,toeni na zenu tulinganishe nani wa kimataifa na nani wa kitaifa zaidi.
Kuvaa suti ndio data ya kujivunia?
 
Back
Top Bottom