Haji Manara: Simba siyo baba wala mama yangu

manara alishasemaga mashabiki wa yanga wanajielewa kuliko simba . tatizo ile video clip nimeipoteza

kitochi
 
ni lazima wamseme maana ni yeye ndio alitamba kuwa simba ikikutana na timu yoyote hata kama ni barca pale kwa mchina watashinda tu,sasa wanamuuliza,je bandari mmewafunga?,sasa anapanik nini,huyu ni mpuuzi sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kocha yeye, benchi la ufundi
 
Hahaha jamaa kawageuka " .... manina anatumia fan base ya simba kujipatia fame ... na jinsi alivyo domo kaya mtamkoma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duhh kumbe jamaa ni tapeli la kutupa tu mjini hapa ...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bongo bwana, eti 'msemaji wa timu' anakuwa maarufu kuliko kocha

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaah mkuu bongo ukiwa mdananda tu unatoboa ... maana vyombo vyetu vya habari Vina. Penda story za umbea umbea na ujinga .... ukiwaambia nataka kufanya I press conference nimemfumania mke wangu ...utawaona hao ... ila ukiwaita kwenye Press conference ili uzungumzie masuala ya ukuaji au ushukaji wa pato la taifa kiuchumi ....kwenye press utabaki peke yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kheeee
 
Anaongea Kama kasuku halafu maneno yanasmrudia
 
Anajua nyie ni mbumbumbu ndo maana anawageuza geuza Kama chapati
 
Etiiiii, hiyo kazi spokesman of the club haitki mtu lelemama, mtu mwenye kifua kidogo yeye kazi yake ni mdomo anatakiwa azipangue hoja kwa mdomo sio kwa kulialia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…