Haji Manara, staha ni jambo muhimu sana kwa binadamu yeyote mwenye akili timamu

Reality ipo wapi?. Manara ni zeruzeru mjinga nani ni chura sasa?
Huwajui chura?? Nenda pale jangwani utakuta bwawa , vyura wamejazana pale, hawana akili hata ya kutoka nje ya tope!
 
... Ligi ya mabingwa ulaya madrid wamechkua ndoo mara tatu mfululizo hatujamsikia msemaji wao akiropoka kama ufanyavyo manara...
Wala hatujawahi kuwasikia Louis Sendeu na Jerry Muro wakiropoka kama hivi 😀😀😀. Povu ruksa!
 

Mkuu, achana nao. Kutesa kwa zamu, yatapita tu na maisha yataendelea.
 
mimi ni mwanasimba ila kiukweli huwa sipendi kumsikiliza haji manara... hana akili, hana staha, hana busara..akili zake ni za kipumbavuh kama alivyokuwa yule wa yanga kipindi kile. ukosefu wa elimu ndo unamfanya adhani kumwa msemaji wa team ni kubwabwaja na kuongea mambo ya kiounguani tu kama mwanamke aso na mume. binafsi sipendi kusikia habari yoyote ikitolewa na haji manara. anaiharibu simba.... simba ilikuwa na wasemaji wastaarabu miaka ya nyuma.... sasa wamemleta mtu ambaye hana elimu wameharibu sana.

 
manji simtetei maana hata msemaji wa yanga alikiri kuwa MANJI ANATUMIA MADAWA YA KULEVYA.. AUDIO yake ilisikika kwa watu wengi tu. so suala hapo si manji.... yanga nliwah waambia mapema wajipange manji hayupo siku zote na hatokuwepo siku zote.

 
Manara zeruzeru angekuwa mtoto wangu ningemgawa kwa masister bure..kama mbwai mbwai..usichague silaha kwenye vita
 
Wale wale vilaza buku saba!
 
Kama aliweza kubeba kabrasha LA TV kwa waandishi wa habari utafikiri kichwani zipo

Kwa sisi tulio soma math tunasema akili zake sawa sin(0)
 
Hata rangi ya manara tutaiona!. Tunakoelekea atakashifiwa mchukie.....yule Manara kapungukiwa kila kitu kuanzia akili mpaka rangi!!
Manara atawakamua sana mwaka huu, itabidi muwe wapole na wavumilivu wakati dawa inaingia
 
Hata uswahilini kutwa wanaoshinda vibarani kupiga umbea YANGA, kwenye bao YANGA, chuma ulete YANGA, hata ukipanga kwenye nyumba zao utaambiwa marufuku kupika nyama, hawa wote njaa ya tumbo na akili inaeasumbua. Wameenda kenya kushiriki mashindano ya sportspesa kwa mkopo, mwacheni Manara pambaneni na hali zenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…