ZionGate
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 6,362
- 2,991
Hata uswahilini kutwa wanaoshinda vibarazani kupiga umbea YANGA, kwenye bao YANGA, chuma ulete YANGA, hata ukipanga kwenye nyumba zao utaambiwa marufuku kupika nyama, hawa wote njaa ya tumbo na akili inaeasumbua. Wameenda kenya kushiriki mashindano ya sportspesa kwa mkopo, mwacheni Manara pambaneni na hali zenu