Haji Manara unatakiwa usome alama za nyakati. Wakati umeanza kukukataa

Haji Manara unatakiwa usome alama za nyakati. Wakati umeanza kukukataa

sinza pazuri

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2014
Posts
3,344
Reaction score
9,066
20240913_185945.jpg

Bro Haji alama za nyakati zinaanza kukukataa kwenye game yako uliyoweza kuimasta kwa muda mrefu ya usemaji wa timu za mpira.

Kila nikitazama miaka mitatu mpaka minne sikuoni tena ukiwa na ule ushawishi kwenye timu za football.

Nakushauri ustaafu kabla haujastaafishwa kwa aibu.

Nimekuwa nikifatilia trend yako na timu yako ya sasa ni wazi wanashindwa tu kukwambia ujiongeze. Kuendelea kuwachokonoa wenzio kwenye timu tena wenye timu yao ni dalili ya kifo cha nyani miti yote inateleza.

Soma Pia: Eng. Hersi: Haji Manara sio Msemaji wa Yanga, tunaangalia majukumu mapya ya kumpa


Kwenye idara ya usemaji wewe ni masta ila wakati umeanza kukukataa wewe ni mtoto wa mjini jiongeze Yanga hawaoni tena umuhimu wako kama vile wewe unavyojipa umuhimu.

Na nje ya kuzisemea Yanga na Simba hakuna mtu atakupa tena attention utaenda kugombania milupo na kina Dulla makabila
 
View attachment 3095165

Bro Haji alama za nyakati zinaanza kukukataa kwenye game yako uliyoweza kuimasta kwa muda mrefu ya usemaji wa timu za mpira.

Kila nikitazama miaka mitatu mpaka minne sikuoni tena ukiwa na ule ushawishi kwenye timu za football.

Nakushauri ustaafu kabla haujastaafishwa kwa aibu.

Nimekuwa nikifatilia trend yako na timu yako ya sasa ni wazi wanashindwa tu kukwambia ujiongeze. Kuendelea kuwachokonoa wenzio kwenye timu tena wenye timu yao ni dalili ya kifo cha nyani miti yote inateleza.

Kwenye idara ya usemaji wewe ni masta ila wakati umeanza kukukataa wewe ni mtoto wa mjini jiongeze Yanga hawaoni tena umuhimu wako kama vile wewe unavyojipa umuhimu.

Na nje ya kuzisemea Yanga na Simba hakuna mtu atakupa tena attention utaenda kugombania milupo na kina Dulla makabila
Mropokaji hafai kabisa. Aliniudhi sana siku ile kamsukuma Kamwe kwenye press walivyokuwa wanabadilishana podium, hana weledi
 
naliona anguko la manara ingawa sio mpenzi wa soka ni muda sasa naona kama kuna anguko lipo mbele yake

namshauri jamaa afanye mambo mengine
 
View attachment 3095165

Bro Haji alama za nyakati zinaanza kukukataa kwenye game yako uliyoweza kuimasta kwa muda mrefu ya usemaji wa timu za mpira.

Kila nikitazama miaka mitatu mpaka minne sikuoni tena ukiwa na ule ushawishi kwenye timu za football.

Nakushauri ustaafu kabla haujastaafishwa kwa aibu.

Nimekuwa nikifatilia trend yako na timu yako ya sasa ni wazi wanashindwa tu kukwambia ujiongeze. Kuendelea kuwachokonoa wenzio kwenye timu tena wenye timu yao ni dalili ya kifo cha nyani miti yote inateleza.

Kwenye idara ya usemaji wewe ni masta ila wakati umeanza kukukataa wewe ni mtoto wa mjini jiongeze Yanga hawaoni tena umuhimu wako kama vile wewe unavyojipa umuhimu.

Na nje ya kuzisemea Yanga na Simba hakuna mtu atakupa tena attention utaenda kugombania milupo na kina Dulla makabila
Hivi huyu jamaa ni ginger (red head)? Ana undugu na Ed Sheeran?
 
View attachment 3095165

Bro Haji alama za nyakati zinaanza kukukataa kwenye game yako uliyoweza kuimasta kwa muda mrefu ya usemaji wa timu za mpira.

Kila nikitazama miaka mitatu mpaka minne sikuoni tena ukiwa na ule ushawishi kwenye timu za football.

Nakushauri ustaafu kabla haujastaafishwa kwa aibu.

Nimekuwa nikifatilia trend yako na timu yako ya sasa ni wazi wanashindwa tu kukwambia ujiongeze. Kuendelea kuwachokonoa wenzio kwenye timu tena wenye timu yao ni dalili ya kifo cha nyani miti yote inateleza.

Kwenye idara ya usemaji wewe ni masta ila wakati umeanza kukukataa wewe ni mtoto wa mjini jiongeze Yanga hawaoni tena umuhimu wako kama vile wewe unavyojipa umuhimu.

Na nje ya kuzisemea Yanga na Simba hakuna mtu atakupa tena attention utaenda kugombania milupo na kina Dulla makabila
Maisha ya Haji Manara wewe yanakuhusu nini?
 
Kwa Jinsi Alivyo na Nyodo Za Kizaramo, nilishangaa Yanga Kumpokea jinsi alivyokuwa anawakejeli kipindi yupo Simba...!

Wana Simba hawawezi Kamwe Kumpokea tena ..! Hawataweza kula Matapishi kama Walivyofanya Yanga...!

Sasa akajitafute kwenye timu ndogo ndogo!
 
Maisha ya Haji Manara wewe yanakuhusu nini?
"Kwa hakika ninyi wote ni ndugu, basi patanisheni baina ya ndugu zenu, na mcheni Mwenyezi Mungu (msipuuze jambo la kupatanisha) ili mrehemewe". surat alhujuraat 49 : 10
 
Back
Top Bottom