sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,344
- 9,066
- Thread starter
- #21
Nyakati hazidumu wanayanga wameanza maisha mengine bila yeyeKwa Jinsi Alivyo na Nyodo Za Kizaramo, nilishangaa Yanga Kumpokea jinsi alivyokuwa anawakejeli kipindi yupo Simba...!
Wana Simba hawawezi Kamwe Kumpokea tena ..! Hawataweza kula Matapishi kama Walivyofanya Yanga...!
Sasa akajitafute kwenye timu ndogo ndogo!