Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,916
- 43,505
Haji Manara bila shaka umeona mpira wote na umejionea jinsi simba walivyokuwa wanafanyiwa hujuma na Refa na kuporwa haki yao wazi wazi...
Nategemea kesho utaita waandishi wa habari na Flat Screen ya inch 75 kuonesha wazi ulimwengu Jinsi simba wanavyo nyanyaswa na marefa wa Yanga.... ni wazi wenye kombe hili wanataka Yanga au Azam watwae ubingwa...
Manara hili jambo ikiwezekana lifike FIFA hakuna kurudi Nyuma.
Nategemea kesho utaita waandishi wa habari na Flat Screen ya inch 75 kuonesha wazi ulimwengu Jinsi simba wanavyo nyanyaswa na marefa wa Yanga.... ni wazi wenye kombe hili wanataka Yanga au Azam watwae ubingwa...
Manara hili jambo ikiwezekana lifike FIFA hakuna kurudi Nyuma.