Mohammed wa 5
JF-Expert Member
- Jun 20, 2022
- 1,215
- 3,035
Nakumbuka zile mechi za CAF za Simba kipindi Haji Manara Afisa habari wa Simba, alikuwa anajaza uwanja wa Mkapa alikuwa ana press nyingi sijui, atembee kwenye masoko, gereji, kariakoo n.k, Haji Manara kwenye uhamasishaji Yuko vizuri kuliko Ahmedy Ally na Ally kamwe
Ahmedy Ally kwenye uhamasishaji bado, labda ndio mwazoni tumpe muda atakuwa vizuri.
Ahmedy Ally na Ally kamwe wana mengi ya kujifunza kwa Haji Manara.
Ahmedy Ally kwenye uhamasishaji bado, labda ndio mwazoni tumpe muda atakuwa vizuri.
Ahmedy Ally na Ally kamwe wana mengi ya kujifunza kwa Haji Manara.