demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
Ndugu Haji Sunday Manara leo kwenye Press Conference Klabu bingwa ya kihistoria ametanabaisha kuwa kwa mipango aliyoishuhudia ndani ya klabu hiyo anaamini kuwa kama kuna klabu yeyote Afrika Mashariki inatwaa Ubingwa wa CAFCL basi klabu hiyo itakuwa ni YANGA SC.
Hayo ameyasema akiwa anasukumwa na mambo mbalimbali na mipango ya muda mrefu na mfupi iliyowekwa klabuni hapo.
Aidha, Manara ameweka wazi kuwa kutokana na mazingira mazuri ya mabadiliko ya kuliuendeshaji klabu yaliyofanyika klabuni hapo yanampa kiburi zaidi kuamini kuwa hata wapinzani wao (SIMBA SC) hawana uwezo wa kufanya vyema kwa sababu kuna ubabaishaji mwingi katika namna wanavyo endesha klabu yao.
Hayo ameyasema akiwa anasukumwa na mambo mbalimbali na mipango ya muda mrefu na mfupi iliyowekwa klabuni hapo.
Aidha, Manara ameweka wazi kuwa kutokana na mazingira mazuri ya mabadiliko ya kuliuendeshaji klabu yaliyofanyika klabuni hapo yanampa kiburi zaidi kuamini kuwa hata wapinzani wao (SIMBA SC) hawana uwezo wa kufanya vyema kwa sababu kuna ubabaishaji mwingi katika namna wanavyo endesha klabu yao.