Haji Manara: Yanga SC itakuwa timu ya kwanza Afrika Mashariki kutwaa taji la CAFCL

Hapana.

Hawajazoea vya kuiba.

WanaJangwani wanatamaduni ya kulipa gharama ya kile wanachokihitaji.
Wameshindwa kulipa buku buku ya nani zaidi ndio iwe CAF?
 
Kwani Tp Mazembee iko ukanda gani wakina uto?
 
Haji mjanja hajasema mwaka ambao yanga itachukua
 
Unaionhlgelea hii utopwinyo hii hii au kuna nyingine..? Afu why kila ka press keni mnaiongelea simba?? Simba hawana time ya kuongelea manyani kwenye press zao. Mjitambue kwanza. Kombe la CAF au La CUF ya lipumba tujuzane. Maana hayo mashindano mwaka huu unaoanza mpaka simba anaanza kucheza nyie msharudi kidimbwi
 
Hapo kwa Mayele bosi tafakari tena.
Kwa mfano wale Pirates wangekuwa na mtu kama Mayele ile confederation wangechukua. Mayele ni goal getter. Hilo halina ubishi kwa sasa
 
Yani Simba kufika robo fainali hizo mara kadhaa imefanya hadi timu ambazo hazijawahi kuvuka group stage ya CAFCL kuanza kuota ubingwa. Sio rahisi kiasi hicho, focus yenu iwe kufika makundi kwanza.
 
Hapo kwa Mayele bosi tafakari tena.
Kwa mfano wale Pirates wangekuwa na mtu kama Mayele ile confederation wangechukua. Mayele ni goal getter. Hilo halina ubishi kwa sasa

Hoja yangu imeongelea caf champions league wewe unatoa mfano wa confederations cup, kumbuka Mayele kacheza champions league sana na club yake ya zamani.. alifunga magoli mangapi caf champions league.

Kufunga magoli mengi ligi ya Tanzania sio sababu ya kumuona mtu bora . Makambo alifunga sana ligi yetu kuliko mayele ila caf champions league alichemsha sana tena na timu kalii kama horoyaa kila msimu inafika robo ama makundi.. ila makamboo alifeli sabab beki za caf champions league sio kama za ligi ya Tanzania.

Kina bocco nao ligi yetu wamefunga sana ila kwenye caf wanachemsha sababu beki za caf sio sawa na beki za ligi yetu
 
Yani Simba kufika robo fainali hizo mara kadhaa imefanya hadi timu ambazo hazijawahi kuvuka group stage ya CAFCL kuanza kuota ubingwa. Sio rahisi kiasi hicho, focus yenu iwe kufika makundi kwanza.
ni kama kitaani unakaa na washkaji mtaani ila ukiingia chimbo unakaza unatoboa. sasa washakaji wanajitia ujinga wanaona easy tu
 
L
Labda kombe la bilauri....yaan iyo group stage tu kwanza kuicheza mwakq jana walishindwaa walitolewa mapemaa
 
Kwani haisemei Yanga mpaka aitaje Simba?

Ukiona mke anakutaja taja sana, tambua anakupenda. Ana mahaba nawe.
Haiwezekani, kila jambo aliongealo, lazima aitaje Simba!! Anawashwa washwa huyu eee!!
 
Ukimsikiliza manara ndo unajua kweli kaumia kuondoka simba wakaamua kuweka kambi mbele ya jengo la simba ili simba wafanye vurugu ila simba wana akili sio kama utopolo wanaoenda airport kupokea wageni simba wakakausha kama hakijatokea kitu.
Nilishangaa sana siku ile waliyoweka standi pale Msimbazi. Yaani utafikiri mawifi wanaokwenda kufanya vurugu kwa mke mwenza!! Halafu kuna watu wana PhD kule. Ila kwa vile mwenyewe alishasema kuwa kuna wawili tu, basi.
 
Tunadanganywa kwenye siasa na kwenye mpiea pia nako wanatudanganya.
 
Hapana.

Hawajazoea vya kuiba.

WanaJangwani wanatamaduni ya kulipa gharama ya kile wanachokihitaji.
Tumesikia wataomba CAF waanzie away waje wamalizie home! Sawa, mipango mizuri. Ila....!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…