Mchana KweupeAnaota
Labda mkakati wa kuliiba
Ndio maana wanamleta Aziz Ki na Kambole yupoManara yupo sahihi
Yanga itakuwa timu ya kwanza kutwaa caf champions legue kutoka africa mashariki kama gsm akiendelea kutoa hela zaidi na zaidi mbeleni.. ila sio msimu huu wala ujao. Sio kwa kikosi hiki cha sasa.
Mimi mwanayanga ila natambua bado hatujawa tayari kutwaa caf champions league kwa kikosi cha sasa hivi.
Ni ngumu sana kutwaa ubingwa huo kwa kutegemea beki mwenye umbo kama la kibwana shomari. Kiungo kama Fei Toto na mshambuliaji kama mayele sio level za kutwaa caf champions league.
Mtu naemwona yupo tayari ni mmoja tu ambaye ni goal keeper ila wengine wote waliobaki hawawezi kutufanya yanga tutwae caf champions league.
Hizo ni drama za kitoto ambazo mashabiki wa Yanga tu ndio wanaweza kuamini kua Simba ilikuwa kwenye competition ya kumgombania aziz kiHao hao walio shindwa kulipa bukubuku ndio walio mchukia Aziz KI mdomoni pa CEO wenu.
Takadini tangu akataliwe na yule mchezaji aliyeondoka, kawa km kidampa wa vikindu, lol, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na Yanga itakuwa timu ya kwanza kuwa na mashabiki wajinga kupitiliza wasio jifunza kupitia makosa kwa kuamini mdomo wa manara ambao miezi kadhaa iliyopita mdomo huo huo uliongea uongo kuhusu Yanga kushiriki CAF hatua ya awali.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wameshindwa kulipa buku buku ya nani zaidi ndio iwe CAF?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] leo chaliiiii mayeleeee.Hapo kwa Mayele bosi tafakari tena.
Kwa mfano wale Pirates wangekuwa na mtu kama Mayele ile confederation wangechukua. Mayele ni goal getter. Hilo halina ubishi kwa sasa
Timu gani hiyo unayosema haijawahi kufika robo fainali ya CAF CL?.Mwishoni nilijua utamalizia kwa kuandika "natania"
Yani kuchukua kombe ligi kuu ndio umejipa confidence ya viwango vya CAF?
Yani umepiga vi pushups viwili tayari umeanza kutembea kifua wazi unatanua ki chest unajiita the rock?
Eti GSM aweke hela.... Achilia mbali ubingwa niambie huyo mjasiliamali ana hela gani gani ya kuifadhili yanga mpaka tu wakafika nusu fainali?
Hatuongei tu kwasababu hatupendi kuwaona mkiumia nyoyo zenu, ila ukweli ni ngumu sana kwa timu ambayo haijawahi kufika robo fainali ya CAF kupewa advantage kwa kufikiriwa kuwa itakuwa timu ya kwanza kubeba ubingwa wa CAF.
Best loserSafi sana,nakala imfikie Mwamedi.