HAJI MANARA: Yote maisha, nimezamishwa kuna siku nitainuka, ninachoshukuru ninajua kuogelea!

HAJI MANARA: Yote maisha, nimezamishwa kuna siku nitainuka, ninachoshukuru ninajua kuogelea!

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,897
Reaction score
18,477
1658483392857.png
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa kulalamika sasa.
Unaweza ukasema wanamuonea.
Tatizo mdomo
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni! Manara anachangamsha sana soka la bongo!! Kumkosa Manara kwenye soka la bongo tutakosa mashamsham fulani hivi!
 
Back
Top Bottom